Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Dec 08, 2019 08:37

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ina wingi wa matumaini kuwa mazungumzo kati ya Tehran na Abuja yatakuwa chachu ya kuanza safari ya kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Nukta tano kuhusu jaribio la kombora la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nukta tano kuhusu jaribio la kombora la utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 08, 2019 03:56

    Msemaji wa Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe 6 Disemba alitangaza kuwa jeshi la utawala huo lilifanyia jaribio kombora moja katika eneo la Ashdod.

  • Zarif: Mafanikio ya kisayansi ya wasomi Wairani ni mwiba katika macho ya maadui

    Zarif: Mafanikio ya kisayansi ya wasomi Wairani ni mwiba katika macho ya maadui

    Dec 08, 2019 01:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, Marekani imekuwa ikijaribu kuzuia ustawi wa Iran lakini haijaweza kufanikiwa.

  • AFRICOM: Russia ilitungua drone ya Marekani nchini Libya

    AFRICOM: Russia ilitungua drone ya Marekani nchini Libya

    Dec 07, 2019 08:44

    Jeshi la Marekani limedai kuwa Jeshi la Ulinzi wa Anga la Russia lilitungua drone yake katika mji mkuu wa Libya, Tripoli mwezi uliopita.

  • Kamisheni ya JCPOA yasisitiza juu ya kulindwa makubaliano hayo

    Kamisheni ya JCPOA yasisitiza juu ya kulindwa makubaliano hayo

    Dec 07, 2019 03:54

    Kikao cha 14 cha Kamisheni ya Pamoja ya Makubaliano ya Nyuklia ya JCPOA kimesisitizia tena kuhusu umuhimu wa kulindwa mapatano hayo ya kimataifa na kwamba Iran imefungamana na makubaliano hayo.

  • Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Tahadhari ya Russia kuhusu uwezekano wa kusambaratika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Dec 06, 2019 07:00

    Baada ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 wanachama wengine wa makubaliano hayo wamekuwa wakitilia mkazo udharura wa kulindwa mapatano hayo ya kimataifa kutokana na umuhimu wake katika kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Troika ya Ulaya yafuata nyazo za Marekani katika njama dhidi ya mpango wa makombora ya kujihami ya Iran

    Troika ya Ulaya yafuata nyazo za Marekani katika njama dhidi ya mpango wa makombora ya kujihami ya Iran

    Dec 05, 2019 23:18

    Pamoja na kuwa nchi za Ulaya zinadai kuwa zinaunga mkono ulindwaji wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) inatekeleza sera za vitisho dhidi ya Iran na imeamua kufuata nyayo za Marekani katika kupinga uwezo wa makombora ya Iran ambayo lengo lake ni kujihami tu.

  • Tehran; kituo cha udiplomasia wa kisiasa-kiuchumi wa nchi zinazopakana na Iran

    Tehran; kituo cha udiplomasia wa kisiasa-kiuchumi wa nchi zinazopakana na Iran

    Dec 05, 2019 07:30

    Tehran, mji mkuu wa Iran, katika kipindi cha wiki moja iliyopita, umekuwa mwenyeji wa mawaziri wa nchi jirani za ukanda wa kusini na kaskazini. Aidha katika siku za hivi karibuni mji wa Tehran umekuwa mwenyeji wa mikutano kadhaa ya kieneo.

  • Mkurugenzi Mkuu mpya wa wakala wa IAEA na mustakabali wa JCPOA

    Mkurugenzi Mkuu mpya wa wakala wa IAEA na mustakabali wa JCPOA

    Dec 03, 2019 08:38

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ukiwa asasi ya usimamizi ya Umoja wa Mataifa kwa taasisi na shughuli za nyuklia za nchi wanachama, una nafasi muhimu mno katika kudhamini shughuli za nyuklia za wanachama wake na vilevile kueneza matumizi ya nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Ulimwengu wa Michezo, Disemba 2

    Ulimwengu wa Michezo, Disemba 2

    Dec 02, 2019 04:05

    Matukio muhimu ya spoti ndani ya siku saba zilizopita......

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS