-
Rouhani: Madai ya Ujerumani, Uingereza na Ufaransa dhidi Iran hayana msingi wowote
Sep 24, 2019 00:19Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali tuhuma zilizotolewa na Ujerumani, Uingereza na Ufaransa kuwa eti Iran ilihusika katika mashambulizi yaliyolenga kituo kikubwa cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, madai hayo haya msingi wowote.
-
Kukiri Marekani kwamba vikwazo vyake dhidi ya Iran vimefika kileleni na vimefeli
Sep 23, 2019 23:18Baada ya kujitoa bila sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kwa jina la JCPOA na kuirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya mapatano hayo, bali kuongeza vikwazo vikubwa zaidi ambavyo havijawahi kutokea mfano wake, leo hii serikali ya Donald Trump ya Marekani imelazimika kukiri kuwa vikwazo vyake hivyo vimeshindwa kuzaa matunda yaliyotarajiwa.
-
Jumanne, tarehe 24 Septemba, 2019
Sep 23, 2019 23:17Leo ni Jumanne tarehe 24 Muharram mwaka 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 24 Septemba 2019.
-
Ulimwengu wa Spoti, Sep 23
Sep 23, 2019 05:01Mkusanyiko wa matukio ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita...
-
Rouhani: Iran iko tayari kunyoosha mkono wa urafiki kwa jirani zake
Sep 22, 2019 04:46Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ipo tayari kunyoosha mkono wa urafiki kwa jirani zake, sambamba na kusamehe makosa yaliyofanywa na baadhi ya nchi hizo.
-
Mateka Muirani aachiwa huru na maharamia wa Somalia
Sep 22, 2019 04:11Raia wa Iran ambaye amekuwa akishikiliwa mateka na maharamia wa Somalia kwa miaka kadhaa sasa hatimaye ameachiwa huru.
-
Jumapili, 22 Septemba, 2019
Sep 21, 2019 22:57Leo ni Jumapili tarehe 22 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria, sawa na tarehe 22 Septemba 2019 Miladia.
-
Iran kuendelea kuimarisha makombora yake ya balistiki licha ya kelele za Marekani
Sep 21, 2019 03:12Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha mfumo wake wa makombora ya balistiki licha ya kelele za Marekani.
-
Mchezo wa Aramco; makelele ya timu ya Trump na jibu la Zarif
Sep 20, 2019 04:35Licha ya kuwa sababu ya kushambuliwa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia inapasa kutafutwa katika vita vya Yemen lakini watawala wa Saudia na Marekani wanaelekeza sababu hiyo kwingine kwa kuituhumu Iran kuwa imehusika katika shambulio hilo.
-
Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco
Sep 20, 2019 03:34Baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudi Arabia Aramco, kushambuliwa kwa ndege zisizokuwa na rubani na jeshi la Yemen, kwa mara nyingine tuhuma za Marekani zimekuwa zikielekezwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.