Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumamosi, 6 Januari, 2018

    Jumamosi, 6 Januari, 2018

    Jan 05, 2018 23:28

    Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiuthani 1439 Hijria sawa na tarehe 6 Januari 2018 Miladia.

  • Maandamano ya wananchi wa Iran kulaani fujo na ghasia za hivi karibuni

    Maandamano ya wananchi wa Iran kulaani fujo na ghasia za hivi karibuni

    Jan 05, 2018 11:14

    Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran baada ya Sala ya Ijumaa wameshiriki kwenye maandamano makubwa katika maeneo mbali mbali nchini, ukiwemo mji mkuu Tehran, kulaani fujo na ghasia zilizozushwa hivi karibuni huku wakitaka wahusika wa fitina hizo wachukuliwe hatua kali kisheria.

  • Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu

    Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu

    Jan 05, 2018 04:32

    Mkuu wa utafiti na teknolojia wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika utoaji makala za kielimu na kisayansi baada ya kutoa jumla ya makala 52,160 za kielimu.

  • Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina

    Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina

    Jan 05, 2018 00:55

    Baraza la Maulamaa wa Kiislamu huko Palestina limetangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikiunga mkono kwa hali na mali kadhia ya Palestina.

  • Afisa wa EU afichua mashirika ya kijasusi yaliyohusika na ghasia nchini Iran

    Afisa wa EU afichua mashirika ya kijasusi yaliyohusika na ghasia nchini Iran

    Jan 04, 2018 04:34

    Katibu Mkuu wa Shirika la Usalama na Intelejensia barani Ulaya amefichua kuwa, vituo viwili vya operesheni vinavyoundwa na maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Magharibi, utawala wa Kizayuni na wawakilishi wa baadhi ya nchi za Kiarabu walikuwa wakiongoza machafuko na ghasia nchini Iran kutokea mjini Erbil, Kurdistan ya Iraq na Herat nchini Afghanistan.

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran

    Jan 03, 2018 23:05

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekosoa vikali uchochezi na uungaji mkono wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa waandamanaji wanaofanya fujo na ghasia nchini.

  • Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu

    Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu

    Jan 03, 2018 12:08

    Wananchi wa Iran kutoka pembe mbalimbali za nchi wamefanya maandamano hii leo kuuunga mkono Mfumo wa Kiislamu unaotawala sambamba na kulaani ghasia zinazoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo.

  • Moscow: Pendekezo la Marekani la kufanya kikao kuhusu Iran ni mzaha

    Moscow: Pendekezo la Marekani la kufanya kikao kuhusu Iran ni mzaha

    Jan 03, 2018 04:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelitaja pendekezo la Marekani la kutaka kuitishwa kikao maalumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na katika Kamati ya Haki za Binadamu kuhusu fujo za hivi karibuni nchini Iran kuwa ni mzaha.

  • Nchi mbalimbali zapinga uingiliaji wa Marekani katika mambo ya ndani ya Iran

    Nchi mbalimbali zapinga uingiliaji wa Marekani katika mambo ya ndani ya Iran

    Jan 03, 2018 00:32

    Nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati zimetoa taarifa mbalimbali na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS