-
Jumamosi, 6 Januari, 2018
Jan 05, 2018 23:28Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiuthani 1439 Hijria sawa na tarehe 6 Januari 2018 Miladia.
-
Maandamano ya wananchi wa Iran kulaani fujo na ghasia za hivi karibuni
Jan 05, 2018 11:14Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran baada ya Sala ya Ijumaa wameshiriki kwenye maandamano makubwa katika maeneo mbali mbali nchini, ukiwemo mji mkuu Tehran, kulaani fujo na ghasia zilizozushwa hivi karibuni huku wakitaka wahusika wa fitina hizo wachukuliwe hatua kali kisheria.
-
Iran yaongoza katika utoaji makala za kielimu na kisayansi kati ya nchi za Kiislamu
Jan 05, 2018 04:32Mkuu wa utafiti na teknolojia wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashika nafasi ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika utoaji makala za kielimu na kisayansi baada ya kutoa jumla ya makala 52,160 za kielimu.
-
Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina
Jan 05, 2018 00:55Baraza la Maulamaa wa Kiislamu huko Palestina limetangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikiunga mkono kwa hali na mali kadhia ya Palestina.
-
Afisa wa EU afichua mashirika ya kijasusi yaliyohusika na ghasia nchini Iran
Jan 04, 2018 04:34Katibu Mkuu wa Shirika la Usalama na Intelejensia barani Ulaya amefichua kuwa, vituo viwili vya operesheni vinavyoundwa na maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Magharibi, utawala wa Kizayuni na wawakilishi wa baadhi ya nchi za Kiarabu walikuwa wakiongoza machafuko na ghasia nchini Iran kutokea mjini Erbil, Kurdistan ya Iraq na Herat nchini Afghanistan.
-
Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita
Jan 04, 2018 04:23Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rouhani na Erdogan walaani msimamo wa US, Israel dhidi ya Iran
Jan 03, 2018 23:05Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki wamekosoa vikali uchochezi na uungaji mkono wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa waandamanaji wanaofanya fujo na ghasia nchini.
-
Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu
Jan 03, 2018 12:08Wananchi wa Iran kutoka pembe mbalimbali za nchi wamefanya maandamano hii leo kuuunga mkono Mfumo wa Kiislamu unaotawala sambamba na kulaani ghasia zinazoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo.
-
Moscow: Pendekezo la Marekani la kufanya kikao kuhusu Iran ni mzaha
Jan 03, 2018 04:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amelitaja pendekezo la Marekani la kutaka kuitishwa kikao maalumu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na katika Kamati ya Haki za Binadamu kuhusu fujo za hivi karibuni nchini Iran kuwa ni mzaha.
-
Nchi mbalimbali zapinga uingiliaji wa Marekani katika mambo ya ndani ya Iran
Jan 03, 2018 00:32Nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati zimetoa taarifa mbalimbali na kulaani uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.