Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kuitetea Palestina ndiko kumefanya maadui wachochee ghasia Iran

    Kuitetea Palestina ndiko kumefanya maadui wachochee ghasia Iran

    Jan 03, 2018 00:31

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni Wanamuqawama sambamba na kulaani machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini Iran, amesisitiza kuwa maadui Wamagharibi ndio waliochochea ghasia hizi kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuitetea Palestina na kuunga mkono harakati za muqawama.

  • Iran: Kabla ya Trump kuingilia Iran, aokoe kwanza mamilioni ya Wamarekani wanaokufa njaa

    Iran: Kabla ya Trump kuingilia Iran, aokoe kwanza mamilioni ya Wamarekani wanaokufa njaa

    Jan 02, 2018 04:15

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uingereza amejibu uingiliaji wa Rais Donald Trump wa Marekani katika masuala ya ndani ya Iran na kusema kuwa, licha ya Marekni kujulikana kuwa na uwezo mkubwa wa kiuchumi duniani, lakini kwa mwaka idadi kubwa ya raia wake huwa wanakufa njaa kutokana na tofauti ya kitabaka.

  • Shamkhani: Marekani, Uingereza na Saudia zapokezana mashambulizi ya Intaneti dhidi ya Iran

    Shamkhani: Marekani, Uingereza na Saudia zapokezana mashambulizi ya Intaneti dhidi ya Iran

    Jan 02, 2018 01:14

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, Marekani, Uingereza na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kupokezana katika Intaneti kuishambulia kila upande Jamhuri ya Kiislamu na taifa la Iran.

  • Rais Rouhani: Maadui wamekasirishwa na maendeleo ya Iran

    Rais Rouhani: Maadui wamekasirishwa na maendeleo ya Iran

    Jan 01, 2018 12:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mafanikio ya taifa la Iran katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kisiasa na kikanda yamewatia hasira na kuwaghadhibisha maadui.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 1

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 1

    Jan 01, 2018 03:55

    Mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita....

  • Rais Rouhani: Marekani haina haki ya kujifanya ina uchungu na taifa la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haina haki ya kujifanya ina uchungu na taifa la Iran

    Jan 01, 2018 01:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, rais wa Marekani ambaye miezi kadhaa iliyopita aliwatuhumu watu wa taifa la Iran kuwa ni magaidi, hana haki ya kujifanya ni mwenye uchungu na nchi hii.

  • Tehran: Israel, US hazina ufahamu juu ya taifa la Iran

    Tehran: Israel, US hazina ufahamu juu ya taifa la Iran

    Dec 31, 2017 11:23

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel, Marekani na nchi nyingine zinazojifanya kutetea haki za Wairani hazina ufahamu wowote kuhusu taifa la Iran.

  • Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Salah Zawawi asifu utendaji na mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu Palestina

    Dec 31, 2017 11:20

    Balozi wa Palestina hapa mjini Tehran amesifu utendaji na mtazamo wa Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusiana na Palestina na makundi ya harakati ya Palestina.

  • Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Dec 31, 2017 04:30

    Mkuu wa kitengo cha biashara katika ubalozi wa Iran mjini Muscat amesema magari yaliyotegenezwa katika viwanda vya Iran sasa yataanza kuuzwa katika soko la Oman.

  • Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Dec 31, 2017 04:25

    Katika hali ambayo wananchi wa Iran wamekuwa wakijumuika katika maeneo kadhaa kulalamikia ughali wa baadhi ya bidhaa, utawala wa Marekani na baadhi ya vyombo vya habari ajinabi na vilivyo dhidi ya Mapinduzi, vimetumia vibaya mikusanyiko hiyo na kujaribu kuichochea ielekee katika mkondo wa fujo na ghasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS