Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Magari yaliyotengenezwa nchini Iran kuanza kuuzwa nchini Oman

    Dec 31, 2017 04:30

    Mkuu wa kitengo cha biashara katika ubalozi wa Iran mjini Muscat amesema magari yaliyotegenezwa katika viwanda vya Iran sasa yataanza kuuzwa katika soko la Oman.

  • Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Mikusanyiko ya watu wa Iran yatumiwa vibaya na Marekani, vyombo vya habari ajinabi

    Dec 31, 2017 04:25

    Katika hali ambayo wananchi wa Iran wamekuwa wakijumuika katika maeneo kadhaa kulalamikia ughali wa baadhi ya bidhaa, utawala wa Marekani na baadhi ya vyombo vya habari ajinabi na vilivyo dhidi ya Mapinduzi, vimetumia vibaya mikusanyiko hiyo na kujaribu kuichochea ielekee katika mkondo wa fujo na ghasia.

  • Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Irada ya Iran ya kuimarisha uhusiano na nchi za Afrika

    Dec 31, 2017 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitza azma yake ya kuimarisha uhusiano na nchi za bara la Afrika.

  • Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Kikao cha Bunge la Nchi za Kiarabu kwa jina la Palestina, kwa maslahi ya Israel

    Dec 29, 2017 11:56

    Bunge la Nchi za Kiarabu lilikutana jana Alkhamisi katika mji mkuu wa Misri, Cairo kwa kaulimbiu ya: Quds, Mji Mkuu wa Milele wa Palestina. Hata hivyo kikao hicho kilibadilika na kuwa mahfali na medani na nchi zinazouunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Israel na Marekani zaafiki mapatano ya 'kuikabili' Iran

    Israel na Marekani zaafiki mapatano ya 'kuikabili' Iran

    Dec 29, 2017 04:27

    Imebainika kuwa, maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel walifanya mkutano wa siri mjini Washington hivi karibuni, kujadili mikakati eti ya kuikabili na kuidhibiti Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran yalaani shambulio la kigaidi la Kabul, Afghanistan

    Iran yalaani shambulio la kigaidi la Kabul, Afghanistan

    Dec 28, 2017 12:49

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi la kujitolea mhanga dhidi ya kituo kimoja cha masuala ya kiutamaduni na ofisi ya Shirika la Habari la Afghan Voice News katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Utambulisho Halisi wa Marekani kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Utambulisho Halisi wa Marekani kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Dec 28, 2017 01:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei Jumatano asubuhi katika mkutano na maafisa na wanachama wa Baraza la Kuhubiri Uislamu kutoka kote Iran aliashiria njama zisizo na kikomo za Marekani za kuvuruga na kuondoa matumaini katika taifa la Iran.

  • Iran yalaani mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya soko, yaliyoua 70 Yemen

    Iran yalaani mashambulizi ya anga ya Saudia dhidi ya soko, yaliyoua 70 Yemen

    Dec 27, 2017 04:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya soko moja mkoani Taizz kusini maghribi mwa Yemen na kuua makumi ya watu.

  • Ulimwengu wa Spoti, Disemba 25

    Ulimwengu wa Spoti, Disemba 25

    Dec 25, 2017 02:40

    Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu katika dakika hizi chache za kutupia jicho matukio yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita katika nyuga za spoti, kitaifa na kimataifa. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi……karibu….

  • Gazeti la Israel la Haaretz: Kushindwa kwa Trump UN ni 'zawadi kwa Iran'

    Gazeti la Israel la Haaretz: Kushindwa kwa Trump UN ni 'zawadi kwa Iran'

    Dec 24, 2017 13:11

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa kushindwa Rais Donald Trump wa Marekani kupata uungaji mkono katika Umoja wa Mataifa kuhusiana na uamuzi wake wa kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel ni sawa na 'kuipatia zawadi' Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS