-
Iran yaijibu Bahrain inayodai Quds si suala muhimu
Dec 22, 2017 00:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu hatua ya hivi karibuni ya waziri wa mambo ya nje wa Bahrain aliyeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa eti kadhia ya Quds na Palestina si muhimu bali ni suala la pembeni tu.
-
Dunia yaafiki pendekezo la Iran la kupambana na misimamo mikali
Dec 21, 2017 07:40Azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu 'Dunia Dhidi ya Machafuko na Misimamo Mikali' liliidhinishwa kwa mara ya tatu na kwa kauli moja na nchi zote za dunia Jumatano katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
-
Alkhamisi tarehe 21 Disemba, 2017
Dec 20, 2017 23:15Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 21, 2017
-
Russia yapendekeza kwa Iran na Uturuki kuanzisha umoja wa nchi tatu wa kushirikiana katika masuala ya kimataifa
Dec 20, 2017 12:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema, kutokana na mafanikio uliopata muungano wa pande tatu za Iran, Russia na Uturuki katika kutatua masuala ya Syria, Moscow inapendekeza kuanzishwa umoja wa nchi hizo tatu kwa ajili ya kutatua mizozo na masuala katika upeo wa kimataifa.
-
Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani
Dec 19, 2017 23:08Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Uswisi mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia madai ya hivi karibuni ya Marekani kwamba makombora yanayofyatuliwa na vikosi vya Yemen dhidi ya Saudia yametoka Iran.
-
Muirani avumbua njia ya kuwezesha kutibu ugonjwa wa Mfumo wa Neva (MS)
Dec 19, 2017 10:12Mwanabiolojia Muirani, kwa mara ya kwanza duniani, amevumbua njia ya kuwezesha kutibu ugonjwa wa Mfumo wa Neva (Multiple Sclerosis) maarufu kama MS.
-
Upinzani wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa ripoti iliyo dhidi ya Iran
Dec 18, 2017 23:18Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameipinga ripoti iliyo dhidi ya Iran iliyosambazwa na vyombo vya habari vya Marekani vinavyodai kuwa eti Iran imejaribu kununua kinyume cha sheria vipande vya makombora vinavyoweza kutumika kijeshi au katika masuala ya nyuklia kutoka kwa Ujerumani.
-
Iran yaikosoa Saudia kwa kuwaua wanawake harusini nchini Yemen
Dec 18, 2017 04:39Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali shambulizi la anga la ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya wanawake waliokuwa wakishiriki sherehe za harusi katika mkoa wa Ma'arb, kaskazini mwa Yemen.
-
Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Mabunge ya Kiislamu kufanyika kesho Tehran
Dec 17, 2017 10:43Kikao cha dharura cha kamati ya Palestina ya Muungano wa Kimataifa wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kinatarajiwa kufanyika kesho hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Maspika wa Mabunge ya nchi tatu za Iran, Mali na Iraq.
-
Burundi yatoa mwito wa kuimarisha uhusiano wa kibiashara na Iran
Dec 17, 2017 04:32Mkuu wa Jumuiya ya Biashara na Viwanda ya Burundi ametoa mwito wa kuimarishwa uhusiano wa kibiashara wa nchi hiyo ya Kiafrika na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.