Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Larijani: Sera za Iran ni kustawisha uhusiano na nchi za Afrika

    Larijani: Sera za Iran ni kustawisha uhusiano na nchi za Afrika

    Aug 05, 2017 03:41

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema sera za Jamhuri ya Kiislamu ni kustawisha uhusiano na nchi za Afrika hususan Ghana.

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Zimbabwe wasisitiza kuimarisha uhusiano wa nchi zao

    Aug 04, 2017 22:10

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe wamesisitiza juu ya azma ya nchi zao ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbalimbali.

  • Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Dakta Larijani: Kuna fursa nyingi za kushirikiana Iran na Uganda

    Aug 04, 2017 10:36

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Iran na Uganda zina vyanzo vingi vya utajiri na kwamba, kuna fursa nyingi za kushirikiana Tehran na Kampala.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kuwa na maelewano mazuri na dunia na kuwa imara katika kukabiliana na mabeberu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; kuwa na maelewano mazuri na dunia na kuwa imara katika kukabiliana na mabeberu

    Aug 04, 2017 09:33

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameridhia chaguo la wananchi wa Iran na kumuidhinisha Dakta Hassan Rouhani kuwa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Viongozi wa nchi mbalimbali wawasili Tehran kwa ajili ya sherehe ya kuapishwa Rouhani

    Viongozi wa nchi mbalimbali wawasili Tehran kwa ajili ya sherehe ya kuapishwa Rouhani

    Aug 04, 2017 00:19

    Viongozi na wawakilishi wa nchi mbalimbali duniani wanaendelea kuwasili nchini Iran kwa ajili ya kushiriki katika sherehe ya kuapishwa Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumamosi ya kesho.

  • "Trump amewasaliti Wamarekani kwa kutafuta vita na Iran, Korea Kaskazini"

    Aug 03, 2017 03:13

    Mbunge wa zamani wa Kongresi ya Marekani amesema Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekiuka ahadi aliyotoa wakati wa kampeni za urais kwamba akiingia madarakani hataitumbukzia tena nchi hiyo katika vita.

  • Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Araqchi: Vikwazo vipya vya US vinalenga kuisambaratisha JCPOA

    Aug 03, 2017 02:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani kusaini sheria ya vikwazo vipya dhidi ya Tehran ni njama ya Washington ya kutaka kusambaratisha makubaliano ya nyuklia ya Vienna yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.

  • Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Trump asaini mswada wa vikwazo dhidi ya Iran, Russia na Korea Kaskazini

    Aug 02, 2017 22:04

    Rais Donald Trump wa Marekani amesaini kuwa sheria mpango wa vikwazo uliopitishwa na Bunge la Wawakilishi na Seneti ya nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Korea Kaskazini.

  • Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Aug 02, 2017 03:42

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria, sambamba na kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Iran na Afrika Kusini zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wao

    Iran na Afrika Kusini zajadili namna ya kuimarisha uhusiano wao

    Aug 01, 2017 21:59

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Afrika Kusini wamefanya mazungumzo hapa mjini Tehran kuhusu namna ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili hususan katika uga wa siasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS