Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulimwengu wa Michezo, Mei 22

    Ulimwengu wa Michezo, Mei 22

    May 22, 2017 02:43

    Ufuatao ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....

  • Kenya yaongoza katika ununuzi wa bidhaa za Iran barani Afrika

    Kenya yaongoza katika ununuzi wa bidhaa za Iran barani Afrika

    May 20, 2017 08:48

    Kenya inaongoza katika ununuzi wa bidhaa kutoka Iran barani Afrika na ni ya 15 kwa ujumla katika ununuzi wa bidhaa za Iran duniani.

  • Rais Hassan Rouhani atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    Rais Hassan Rouhani atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana

    May 20, 2017 05:36

    Tume ya uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imemtangaza Rais Hassan Rouhani kuwa mshindi wa duru ya 12 ya uchaguzi wa rais iliyofanyika Ijumaa ya jana kwa kupata asilimia 57.

  • Rais Hassan Rouhani aendelea kuongoza katika matokeo ya pili ya uchaguzi wa jana

    Rais Hassan Rouhani aendelea kuongoza katika matokeo ya pili ya uchaguzi wa jana

    May 20, 2017 03:44

    Kwa mujibu wa matokeo ya awamu ya pili ya uchaguzi wa rais wa duru ya 12 nchini Iran, Rais Hassan Rouhani ameendelea kuongoza kwa kupata zaidi ya kura milioni 22.

  • Vikwazo vya makombora ya Iran; muendelezo wa uadui wa Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Vikwazo vya makombora ya Iran; muendelezo wa uadui wa Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    May 20, 2017 03:13

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika radiamali yake kwa hatua mpya ya serikali ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran na kusema kuwa, Marekani imeonyesha mara chungu nzima uadui wake kwa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Rais Rouhani anaongoza katika matokeo ya awali, akifuatiwa na Raeisi

    Rais Rouhani anaongoza katika matokeo ya awali, akifuatiwa na Raeisi

    May 19, 2017 23:30

    Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi uliofanyika jana hapa nchini Iran linaendelea na matokeo ya awali yanaonyesha kuwa, Rais wa sasa Hassan Rouhani anaongoza akifuatiwa na Sayyid Ibrahim Raeisi.

  • Muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais wa Iran waongezwa

    Muda wa upigaji kura katika uchaguzi wa rais wa Iran waongezwa

    May 19, 2017 12:07

    Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeongeza muda wa kupiga kura katika uchaguzi wa duru ya 12 ya urais.

  • Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo

    Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo

    May 19, 2017 11:54

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amepongeza ushiriki mkubwa wa wananchi katika upigaji kura wa uchaguzi wa rais leo na kusema kuwa, suala hilo ni jambo muhimu.

  • Uchaguzi; hamasa nyengine ya kihistoria iliyoonyeshwa na wananchi wa Iran

    Uchaguzi; hamasa nyengine ya kihistoria iliyoonyeshwa na wananchi wa Iran

    May 19, 2017 10:14

    Uchaguzi wa 12 wa rais, uchaguzi wa tano wa Mabaraza ya Kiislamu ya Miji na Vijiji na uchaguzi mdogo wa bunge la 10 la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zilifanyika kuanzia saa mbili asubuhi ya leo Ijumaa katika vituo 63,500 vya upigaji kura nchini kote.

  • Rouhani asema mahudhurio makubwa yataimarisha izza, usalama wa Iran

    Rouhani asema mahudhurio makubwa yataimarisha izza, usalama wa Iran

    May 19, 2017 03:15

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais unaofanyika hii leo hapa nchini akisisitiza kuwa, mahudhurio makubwa katika zoezi hilo yataimarisha izza na usalama wa Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS