-
Araqchi akanusha Iran kuipatia Russia makombora ya balistiki
Oct 13, 2024 09:28Iran kwa mara nyingine tena imekadhibisha madai kuhusu kuipatia Russia makombora ya balistiki kufuatia ripoti kwamba Umoja wa Ulaya utatumia tuhuma hizo kama kisingizio cha kuwekea vikwazo Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yakanusha madai ya kuhusika na operesheni ya Wapalestina ya Kimbunga cha Al Aqsa
Oct 13, 2024 03:40Ujumbe wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa umepuuzilia mbali ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ilikuwa na taarifa kuhusu Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyotekelezwa mwaka jana na wapigania ukombozi wa Palestina dhidi ya utawala wa Israel.
-
Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa nchi zitakazokubali kutumiwa kutushambulia
Oct 12, 2024 23:14Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo dhidi ya nchi ambazo zitaruhusu anga na ardhi zao zitumiwe kulishambulia taifa hili.
-
Iran: Walimwengu wachukue hatua kukabiliana na jinai za utawala wa Kizayuni
Oct 12, 2024 03:52Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, walimwengu wanapaswa kuchukua hatua za pamoja kukabiliana na hatua za kishari na jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Rais wa Iran asisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu
Oct 11, 2024 07:48Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesisitiza haja ya umma wa Kiislamu kuwa na umoja na mshikamano na kubainisha kwamba, migawanyiko kati ya Waislamu itawanufaisha maadui pekee.
-
Iran yakosoa tuhuma zisizo na msingi za Uingereza
Oct 09, 2024 10:29Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amejibu madai ya afisa wa usalama wa Uingereza akisema: Maafisa wa serikali ya London wanapaswa kutumia ushawishi wao kusimamisha uchokozi na jinai za utawala ghasibu wa Israel badala ya kutoa tuhuma zisizo na msingi na mijadala ya kupotosha.
-
Rais wa Iran akosoa uungaji mkono wa US, EU kwa jinai za Israel
Oct 08, 2024 08:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kwa kuunga mkono jinai zinazofanywa na utawala khabithi wa Israel.
-
Yajue makombora ambayo Iran iliyatumia katika ‘Operesheni ya Ahadi ya Kweli II’ dhidi ya Israel
Oct 07, 2024 13:43Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huangazia baadhi ya mafanikio katika uga wa sayansi, tiba na teknolojia nchini Iran na leo tutaangazia mafanikio ya Iran katika uga wa ulinzi.
-
Iran yanakusha madai ya kuvuruga usalama katika Bahari Nyekundu
Oct 06, 2024 22:51Mwakilishi wa Iran katika Kamati ya Ulinzi wa Mazingira ya Baharini (MEPC) amekadhibisha madai yaliyotolewa na Marekani dhidi ya Iran kuhusu usalama wa Bahari Nyekundu.
-
Jenerali Naqdi: Tutaishtaki US kwa kupuuza Mkataba wa Algiers
Oct 06, 2024 22:50Naibu Kamanda wa Jeshi la Ulinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC anayesimamia masuala ya uratibu amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itafungua kesi dhidi ya Marekani mwezi ujao kwa kushindwa kwake kutekeleza Mkataba wa Algiers kuhusiana na kurejeshwa mali za Iran.