Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Afisa wa zamani wa White House: Trump ataifanya Iran ijitoe NPT

    Afisa wa zamani wa White House: Trump ataifanya Iran ijitoe NPT

    Jan 21, 2020 00:16

    Afisa mmoja wa zamani wa Ikulu ya Marekani, White House ametahadharisha kwamba, siasa mbovu na ghalati za rais wa nchi hiyo Donald Trump zinaisukuma Iran kwenye kujitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia, NPT.

  • Ujerumani: Marekani imeshindwa katika makabiliano yake na Iran

    Ujerumani: Marekani imeshindwa katika makabiliano yake na Iran

    Jan 20, 2020 02:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amekosoa siasa za uhasama za White House dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa siasa za mashinikizo ya kiwango cha juu ya Washington dhidi ya Tehran hazina natija.

  • Esper akadhibisha madai ya Trump kuhusu sababu za mauaji ya Jenerali Soleimani, asema hayana msingi

    Esper akadhibisha madai ya Trump kuhusu sababu za mauaji ya Jenerali Soleimani, asema hayana msingi

    Jan 13, 2020 12:57

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Mark Esper, amekadhibisha madai yaliyotolewa na Rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba Luteni Jenerali Qassem Soleimani alikuwa akipanga mashambulizi dhidi ya balozi nne za Marekani.

  • Trump na madai ya kizandiki ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran

    Trump na madai ya kizandiki ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran

    Jan 13, 2020 07:57

    Ijapokuwa tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 Marekani siku zote imekuwa ikiamiliana kiuadui na kiuhasama na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, lakini Donald Trump, rais afriti aliyeko madarakani hivi sasa nchini humo, yeye ametia fora na kufurutu mpaka, kwa uadui ambao haujawahi kushuhudiwa, anaoifanyia Iran na wananchi wake.

  • Scott Ritter: Trump amelegeza msimamo kwa kuogopa jibu kali la Iran

    Scott Ritter: Trump amelegeza msimamo kwa kuogopa jibu kali la Iran

    Jan 11, 2020 04:51

    Scott Ritter, aliyewahi kuwa mkaguzi wa silaha wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kuachana na vitisho vyake alivyovitoa hapo kabla dhidi ya Iran kutokana na kuhofia jibu kali la Tehran.

  • Jenerali wa Marekani: Iran ina mbinu nyingi na hatari sana za kupambana na Marekani

    Jenerali wa Marekani: Iran ina mbinu nyingi na hatari sana za kupambana na Marekani

    Jan 04, 2020 17:05

    Barry McCaffrey, Jenerali wa Zamani wa Jeshi la Marekani amekiri kwamba Wairan wana mbinu nyingi na hatari sana za kijeshi kwa ajili ya kupambana na Marekani.

  • Marekani yaizuia Korea Kusini kutuma vifaa vyake vya kitiba nchini Iran

    Marekani yaizuia Korea Kusini kutuma vifaa vyake vya kitiba nchini Iran

    Dec 15, 2019 01:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kusini imezungumzia upinzani wa Marekani kuhusiana na kutumwa bidhaa za kibinaadamu kama vile madawa, chakula na vifaa vya tiba kwenda Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Russia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vimefeli

    Russia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vimefeli

    Nov 08, 2019 08:02

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina natija yoyote na vimefeli.

  • Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Sep 30, 2019 12:06

    Baada ya kuiondoa nchi yake kwenye mapatano ya nyuklia mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea vikwazo vikali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika miezi ya hivi karibuni Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha hamu kubwa ya kutaka kufanya mazungumzo na Iran ambapo baada ya kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, kulienea fununu za uwezekano wa kukutana marais wa Iran na Marekani kando ya mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Trump aagiza kuzidishwa ugaidi wa kiuchumi dhidi ya Iran

    Trump aagiza kuzidishwa ugaidi wa kiuchumi dhidi ya Iran

    Sep 19, 2019 07:07

    Rais wa Marekani amemuagiza Waziri wa Fedha wa nchi hiyo kuweiwekea Iran vikwazo vikuu kufuatia kushindwa siasa za mashinikizo ya juu zaidi za Marekani dhidi ya nchi hii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS