-
Hashdu Shaabi kubuni mipango mipya ya kuwafukuza askari wa US Iraq
Feb 09, 2021 23:00Harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Shaabi ya Iraq imeonya kuwa, iwapo wanajeshi vamizi wa Marekani hawataheshimu uamuzi wa bunge la nchi hiyo wa kuwataka waondoke, basi itazindua mipango mipya ya kuwatimua askari hao katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq
Feb 08, 2021 22:58Harakati za kundi la Daesh na pia mapigano kati ya kundi la Hashdu Shaabi la Iraq na masalia ya kundi hilo la kigaidi yameongezeka nchini humo katika miezi ya karibuni.
-
Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Feb 04, 2021 23:21Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa misafara miwili ya kilojistiki ya jeshi vamizi la Marekani katikati na kusini mwa Iraq.
-
Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuunga mkono usalama wa Iraq kwa nguvu zake zote
Feb 01, 2021 04:43Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran inauhesabu usalama wa jirani yake Iraq kuwa ni sawa na usalama wake, hivyo itatumia nguvu zake zote kuunga mkono usalama wa nchi hiyo.
-
Al Kadhimi asisitiza kulipiza kisasi kwa wahusika wa milipuko ya Baghdad
Jan 31, 2021 04:04Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, wale wote walioihusika katika kuwaua raia wasio na hatia katika milipuko ya karibuni katika maidani ya al Tayaran huko Baghdad mji mkuu wa nchi hiyo watalipizwa kisasi.
-
Makao ya uongozi mpya wa Daesh huko al Anbar yasambaratishwa
Jan 28, 2021 22:36Wapiganaji wa Harakati ya Hashdu Shaabi ya Iraq wamesambaratisha makao ya uongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la jangwani katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kuanza oparesheni ya pamoja ya kiusalama kati ya al Hashdu Shaabi na jeshi la Iraq huko al Anbar
Jan 27, 2021 08:31Harakati ya Hashdu Shaabi na jeshi la Iraq zimeanzisha oparesheni ya pamoja katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh.
-
Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq
Jan 25, 2021 20:08Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.
-
Marekani, Saudia na Israel zinachochea hujuma za kigaidi Iraq
Jan 25, 2021 04:20Harakati ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imesema hujuma za kigaidi ambazo zimetekelezwa na kundi la kigaidi la ISIS nchini humo zinachochewa na muungano wa Marekani, Saudi Arabia na Israel.
-
Hatua kali za kiusalama zachukuliwa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad
Jan 24, 2021 23:01Duru moja ya Iraq imetangaza habari ya kuchukuliwa hatua kali za kiusalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad hasa baada ya magaidi wa Daesh kufanya mashambulio ya kigaidi yaliyoua na kujeruhi makumi ya watu katikati ya mji huo Alkhamisi iliyopita.