Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Hashdu Shaabi kubuni mipango mipya ya kuwafukuza askari wa US Iraq

    Hashdu Shaabi kubuni mipango mipya ya kuwafukuza askari wa US Iraq

    Feb 09, 2021 23:00

    Harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Shaabi ya Iraq imeonya kuwa, iwapo wanajeshi vamizi wa Marekani hawataheshimu uamuzi wa bunge la nchi hiyo wa kuwataka waondoke, basi itazindua mipango mipya ya kuwatimua askari hao katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq

    Tishio la kurejea upya kundi la Daesh huko Iraq

    Feb 08, 2021 22:58

    Harakati za kundi la Daesh na pia mapigano kati ya kundi la Hashdu Shaabi la Iraq na masalia ya kundi hilo la kigaidi yameongezeka nchini humo katika miezi ya karibuni.

  • Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq

    Feb 04, 2021 23:21

    Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa misafara miwili ya kilojistiki ya jeshi vamizi la Marekani katikati na kusini mwa Iraq.

  • Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuunga mkono usalama wa Iraq kwa nguvu zake zote

    Amir Abdolahian: Iran itaendelea kuunga mkono usalama wa Iraq kwa nguvu zake zote

    Feb 01, 2021 04:43

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran inauhesabu usalama wa jirani yake Iraq kuwa ni sawa na usalama wake, hivyo itatumia nguvu zake zote kuunga mkono usalama wa nchi hiyo.

  • Al Kadhimi asisitiza kulipiza kisasi kwa wahusika wa milipuko ya Baghdad

    Al Kadhimi asisitiza kulipiza kisasi kwa wahusika wa milipuko ya Baghdad

    Jan 31, 2021 04:04

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuwa, wale wote walioihusika katika kuwaua raia wasio na hatia katika milipuko ya karibuni katika maidani ya al Tayaran huko Baghdad mji mkuu wa nchi hiyo watalipizwa kisasi.

  • Makao ya uongozi mpya wa Daesh  huko al Anbar yasambaratishwa

    Makao ya uongozi mpya wa Daesh huko al Anbar yasambaratishwa

    Jan 28, 2021 22:36

    Wapiganaji wa Harakati ya Hashdu Shaabi ya Iraq wamesambaratisha makao ya uongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la jangwani katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.

  • Kuanza oparesheni ya pamoja ya kiusalama kati ya al Hashdu Shaabi na jeshi la Iraq  huko al Anbar

    Kuanza oparesheni ya pamoja ya kiusalama kati ya al Hashdu Shaabi na jeshi la Iraq huko al Anbar

    Jan 27, 2021 08:31

    Harakati ya Hashdu Shaabi na jeshi la Iraq zimeanzisha oparesheni ya pamoja katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh.

  • Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Jan 25, 2021 20:08

    Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo. 

  • Marekani, Saudia na Israel zinachochea hujuma za kigaidi Iraq

    Marekani, Saudia na Israel zinachochea hujuma za kigaidi Iraq

    Jan 25, 2021 04:20

    Harakati ya Kata'ib Hizbullah ya Iraq imesema hujuma za kigaidi ambazo zimetekelezwa na kundi la kigaidi la ISIS nchini humo zinachochewa na muungano wa Marekani, Saudi Arabia na Israel.

  • Hatua kali za kiusalama zachukuliwa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Hatua kali za kiusalama zachukuliwa katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Jan 24, 2021 23:01

    Duru moja ya Iraq imetangaza habari ya kuchukuliwa hatua kali za kiusalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad hasa baada ya magaidi wa Daesh kufanya mashambulio ya kigaidi yaliyoua na kujeruhi makumi ya watu katikati ya mji huo Alkhamisi iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS