Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani

    Jan 22, 2019 15:11

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Muqawama wa Kiislamu la Harakati ya Nujabaa nchini Iraq amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya muqawama, vinaonyesha kufeli njama za Washington katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Al Hashdu sh-Sha'abi: Mashambulizi yetu dhidi ya Daesh huko Syria yameua na kujeruhi magaidi 35

    Al Hashdu sh-Sha'abi: Mashambulizi yetu dhidi ya Daesh huko Syria yameua na kujeruhi magaidi 35

    Jan 19, 2019 07:38

    Kamanda wa Operesheni za mkoa wa Al Anbar za Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq amesema kuwa, katika mashambulizi ya jana ya harakati hiyo dhidi ya ngome za magaidi wa kundi la Daesh (ISIS), magaidi 35 wa genge hilo wameuawa na kujeruhiwa.

  • Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria

    Jan 19, 2019 03:01

    Harakati ya Wananchi ya al Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq imefanya shambulizi dhidi ya ngome na maeneo ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Deir ez-Zor nchini Syria, ambapo kwa akali magaidi 15 wameangamizwa.

  • Kumalizika safari ya Zarif nchini Iraq; dhihirisho la urafiki kuanzia Baghad hadi Arbil

    Kumalizika safari ya Zarif nchini Iraq; dhihirisho la urafiki kuanzia Baghad hadi Arbil

    Jan 18, 2019 11:13

    Safari ya siku tano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Baghdad na kukutana kwake na viongozi wa serikali kuu mjini Baghdad na wa eneo la Kurdistan nchini humo ni ishara inayodhihirisha wazi kwamba uhusiano wa nchi mbili hizi jirani ni wa kirafiki.

  • Kuongezeka safari za kidiplomasia nchini Iraq

    Kuongezeka safari za kidiplomasia nchini Iraq

    Jan 15, 2019 07:18

    Jumbe tatu za kidiplomasia za Iran, Ufaransa na Jordan zimewasili nchini Iraq na kufanya mazungumzo na maafisa wa nchi hiyo.

  • Zarif: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi na zaidi uhusiano wake na Iraq

    Zarif: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi na zaidi uhusiano wake na Iraq

    Jan 13, 2019 16:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko katika ziara ya kikazi nchini Iraq amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wa nchi hizi mbili ndugu kadiri inavyowezekana.

  • Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani

    Jan 11, 2019 07:38

    Rais Barham Salih wa Iraq siku ya Jumatano ya tarehe 9 Januari aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwa safari rasmi ya kuitembelea nchi hiyo.

  • Turathi za kihistoria zilizoibiwa Iraq na Syria zakutwa kwenye makumbusho ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Turathi za kihistoria zilizoibiwa Iraq na Syria zakutwa kwenye makumbusho ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Jan 06, 2019 03:53

    Turathi na athari kadhaa za kihistoria za Iraq na Syria zilizoibiwa wakati wa uvamizi na machafuko yaliyotokea miaka ya karibuni katika nchi hizo zimekutwa kwenye makumbusho ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza makamanda 30 wa Daesh nchini Syria

    Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza makamanda 30 wa Daesh nchini Syria

    Jan 01, 2019 08:14

    Ndege za kivita za Iraq zimeshambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh mashariki mwa Syria na kuangamiza makanda wasiopungua 30 wa genge hilo la ukifurishaji.

  • Waziri Mkuu wa Iraq akanusha kuwepo kituo chochote cha kijeshi cha Marekani nchini humo

    Waziri Mkuu wa Iraq akanusha kuwepo kituo chochote cha kijeshi cha Marekani nchini humo

    Dec 31, 2018 06:53

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema, hakuna kituo chochote cha kijeshi cha Marekani au cha nchi nyengine yoyote ya kigeni ndani ya ardhi ya nchi hiyo, na kwamba vituo vyote vya kijeshi ni vya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS