-
Harakati ya Nujabaa Iraq: Kuwekewa vikwazo muqawama ni matokeo ya kufeli njama za Marekani
Jan 22, 2019 15:11Kiongozi wa Baraza la Kisiasa la Muqawama wa Kiislamu la Harakati ya Nujabaa nchini Iraq amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi ya muqawama, vinaonyesha kufeli njama za Washington katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Al Hashdu sh-Sha'abi: Mashambulizi yetu dhidi ya Daesh huko Syria yameua na kujeruhi magaidi 35
Jan 19, 2019 07:38Kamanda wa Operesheni za mkoa wa Al Anbar za Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq amesema kuwa, katika mashambulizi ya jana ya harakati hiyo dhidi ya ngome za magaidi wa kundi la Daesh (ISIS), magaidi 35 wa genge hilo wameuawa na kujeruhiwa.
-
Al Hashdu sh-Sha'abi yashambulia ngome za magaidi wa Daesh Deir ez-Zor, Syria
Jan 19, 2019 03:01Harakati ya Wananchi ya al Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq imefanya shambulizi dhidi ya ngome na maeneo ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Deir ez-Zor nchini Syria, ambapo kwa akali magaidi 15 wameangamizwa.
-
Kumalizika safari ya Zarif nchini Iraq; dhihirisho la urafiki kuanzia Baghad hadi Arbil
Jan 18, 2019 11:13Safari ya siku tano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Baghdad na kukutana kwake na viongozi wa serikali kuu mjini Baghdad na wa eneo la Kurdistan nchini humo ni ishara inayodhihirisha wazi kwamba uhusiano wa nchi mbili hizi jirani ni wa kirafiki.
-
Kuongezeka safari za kidiplomasia nchini Iraq
Jan 15, 2019 07:18Jumbe tatu za kidiplomasia za Iran, Ufaransa na Jordan zimewasili nchini Iraq na kufanya mazungumzo na maafisa wa nchi hiyo.
-
Zarif: Iran ina hamu ya kustawisha zaidi na zaidi uhusiano wake na Iraq
Jan 13, 2019 16:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko katika ziara ya kikazi nchini Iraq amesisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wa nchi hizi mbili ndugu kadiri inavyowezekana.
-
Safari ya saba nje ya nchi ya rais wa Iraq katika siku 100 za mwanzo tangu kuingia madarakani
Jan 11, 2019 07:38Rais Barham Salih wa Iraq siku ya Jumatano ya tarehe 9 Januari aliwasili Doha, mji mkuu wa Qatar kwa safari rasmi ya kuitembelea nchi hiyo.
-
Turathi za kihistoria zilizoibiwa Iraq na Syria zakutwa kwenye makumbusho ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 06, 2019 03:53Turathi na athari kadhaa za kihistoria za Iraq na Syria zilizoibiwa wakati wa uvamizi na machafuko yaliyotokea miaka ya karibuni katika nchi hizo zimekutwa kwenye makumbusho ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza makamanda 30 wa Daesh nchini Syria
Jan 01, 2019 08:14Ndege za kivita za Iraq zimeshambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh mashariki mwa Syria na kuangamiza makanda wasiopungua 30 wa genge hilo la ukifurishaji.
-
Waziri Mkuu wa Iraq akanusha kuwepo kituo chochote cha kijeshi cha Marekani nchini humo
Dec 31, 2018 06:53Waziri Mkuu wa Iraq amesema, hakuna kituo chochote cha kijeshi cha Marekani au cha nchi nyengine yoyote ya kigeni ndani ya ardhi ya nchi hiyo, na kwamba vituo vyote vya kijeshi ni vya Iraq.