-
Hashdu sh-Sha'abi yafichua njama za Marekani za kutaka kushambulia ngome zake Iraq
Nov 26, 2018 04:34Harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi nchini Iraq kupitia mbunge mmoja wa nchi hiyo imeeleza kwamba, Marekani inapanga njama za kutekeleza shambulizi dhidi ya ngome na wapiganaji wake.
-
Magaidi wa Daesh waendelea kuangamizwa kaskazini mwa Iraq
Nov 22, 2018 03:21Magaidi wasiopungua 15 wa ISIS wameangamizwa kwenye operesheni ya jeshi la Iraq katika mkoa wa Salahuddin wa kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Alkhamisi tarehe 22,Novemba, 2018
Nov 22, 2018 02:42Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na 22 Novemba mwaka 2018.
-
Kiongozi Muadhamu: 'Iraq yenye nguvu na tulivu' isimame kidete mbele ya maadui
Nov 17, 2018 16:43Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei leo amekutana na Rais Barham Ahmed Salih wa Iraq hapa mjini Tehran na kusema kuwa, njia ya kuvuka matatizo na kukabiliana na njama za wasiotaka mema ni kulinda umoja wa kitaifa wa Iraq, kuwafahamu vizuri marafiki na maadui na kusimama kidete mbele ya adui sambamba na kuwategemea vijana na kulinda na kuimarisha mahusiano na umarjaiya au wanazuoni wa kidini.
-
Zaidi ya magaidi 24 wa ISIS wauawa nchini Iraq
Nov 17, 2018 16:30Zaidi ya magaidi 24 wa genge la ukufurishaji la Daesh (ISIS) wameuawa katika mashambulizi ya anga na nchi kavu yaliyofanywa kwenye maeneo tofauti na wanajeshi wa Iraq katika opereseheni ya kuyasafisha mabaki ya magaidi hao katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Rais Rouhani ampokea rasmi Rais wa Iraq mjini Tehran
Nov 17, 2018 08:07Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo amempokea rasmi mwenzake wa Iraq, Barham Salih katika makao makuu yake ya Saadabad mjini Tehran.
-
Malengo ya safari ya kwanza nje ya nchi ya Rais wa Iraq huko Kuwait
Nov 12, 2018 12:39Barham Salih, Rais mpya wa Iraq jana Jumapili aliwasili nchini Kuwait ikiwa ni kituo chake cha kwanza katika safari yake ya kieneo ya kuzitembelea nchi kadhaa za Ghuba ya Uajemi.
-
Kharrazi: Kuwepo Marekani nchini Afghanistan kumezidisha matatizo ya kiusalama
Nov 12, 2018 08:17Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amesema kuwa Marekani imezidisha tu matatizo ya kiuaslama kwa Afghanistan baada ya kuweko nchini humo kwa muda wa miaka 17.
-
Qassemi: Magaidi watashindwa kulipiza kipigo walichopata Iraq
Nov 12, 2018 04:30Iran imelaani na kulitaja kuwa la kinyama shambulio la kigaidi lililofanywa katika mji wa Mosul kaskazini mwa Iraq na kueleza kuwa magaidi watagonga mwamba katika juhudi zao za kujaribu kulipiza kisasi kipigo walichopata kutoka kwa serikali na wananchi wa nchi hiyo.
-
Bunge la Iraq lataka kutimuliwa nchini humo askari wa Marekani
Nov 11, 2018 13:32Mwanasiasa wa ngazi za juu wa Iraq amesema Bunge la nchi hiyo linatazamiwa kujadili hoja ya kuondoka kikamilifu wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Kiarabu huku Baghdad ikiituhumu Washington kuwa inaingilia masuala yake ya ndani.