-
Jordan: Waliohusika na kuwadhalilisha shakhsia wa Iraq watawachukuliwa hatua kali
Apr 17, 2017 03:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan amemuhakikishia Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq kwamba, watu waliohusika na kuwavunjia heshima shakhsia muhimu wa Iraq, wametiwa mbaroni na kwamba watafikiishwa mbele ya vyombo vya sheria.
-
Jeshi la Iraq: Magaidi wa Daesh magharibi mwa Mosul wamezingrwa pande zote
Apr 15, 2017 09:39Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi, amesema kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamezingirwa tokea pande zote za mji huo.
-
Ijumaa, 14 Aprili, 2017
Apr 13, 2017 22:17Leo ni Ijumaa tarehe 16 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 14 Aprili, 2017.
-
Magaidi 52 wa Daesh waangamizwa na jeshi la Iraq, Mosul
Apr 13, 2017 02:46Jeshi la Iraq limewaangamiza wanachama 52 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS katika operesheni za kusafisha eneo la magharibi mwa mkoa wa Mosul.
-
Alkhamisi, 13 Aprili, 2017
Apr 12, 2017 22:50Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.
-
Brigedia Jenerali Rasool: Daesh inadhibiti chini ya 7% ya ardhi ya Iraq
Apr 11, 2017 23:22Jeshi la Iraq limesema idadi ya ngome zilizokuwa zikidhibitiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo imedidimia kutoka asilimia 40 hadi chini ya asilimia 7 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
Iraq yasisitiza, kuna tofauti kubwa na za kimsingi na Saudi Arabia
Apr 04, 2017 23:37Waziri Mkuu wa Iraq amesema kwamba hitilafu zilizopo baina ya Baghdad na Riyadh ni za muda mrefu na kuongeza kuwa, Wairaq wanaitambua Saudi Arabia kuwa inahusika katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika nchini humo.
-
Kuna uwezekano kinara wa Daesh Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro wa Mosul
Apr 03, 2017 03:16Duru moja ya Iraq imetangaza kuwa kuna uwezekano kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro uliowekwa kwenye mkoa wa Mosul.
-
Marekani yakiri imeua raia 400 Syria na Iraq
Apr 03, 2017 00:07Muungano unaodaiwa ni wa kupambana na genge la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani umekiri kwamba katika kipindi cha baina ya mwaka 2014 hadi 2017 umeua karibu raia 400 nchini Iraq na Syria katika mashambulizi yake ya anga.
-
Iraq yasisitizia umuhimu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Apr 02, 2017 03:39Spika wa Bunge la Iraq amesema kuna haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.