Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Jeshi la Iraq: Tumemuua kiongozi nambari mbili wa Daesh (ISIS) al-Anbar

    Jeshi la Iraq: Tumemuua kiongozi nambari mbili wa Daesh (ISIS) al-Anbar

    Apr 01, 2017 12:22

    Jeshi la Iraq limetangaza Jumamosi ya leo habari ya kuuliwa kinara nambari mbili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika shambulizi la anga, magharibi mwa mkoa wa al-Anbar nchini humo.

  • Mufti wa Waislamu wa Kisuni Iraq: Marekani ikirudi Iraq tutapambana nayo kijeshi

    Mufti wa Waislamu wa Kisuni Iraq: Marekani ikirudi Iraq tutapambana nayo kijeshi

    Apr 01, 2017 12:18

    Mufti wa Waislamu wa Kisuni nchini Iraq amesema kuwa, ikiwa Wamarekani wamekusudia tena kurudi nchini humo, watakabiliwa na mapambano ya kijeshi dhidi yao.

  • Iraq yaikatalia Marekani kuweka kambi zake za kijeshi nchini humo

    Iraq yaikatalia Marekani kuweka kambi zake za kijeshi nchini humo

    Mar 29, 2017 09:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi yake haiwezi kuiruhusu Marekani kuweka kambi zake za kijeshi katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Hashdu Sha'abi yamtaka Al-Abadi kuhakikisha Marekani haihusiki katika operesheni ya Mosul

    Hashdu Sha'abi yamtaka Al-Abadi kuhakikisha Marekani haihusiki katika operesheni ya Mosul

    Mar 28, 2017 03:31

    Harakati ya Asaibu Ahlul-Haq nchini Iraq ambayo ni sehemu ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi imemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo Haider al-Abadi kuhakikisha askari wa Marekani hawashiriki kwa njia yoyote katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul kutoka mikononi mwa wanachama wa genge la Daesh.

  • Genge la Daesh laua raia 227 Mosul, kwa kutaka kukimbia maeneo yao

    Genge la Daesh laua raia 227 Mosul, kwa kutaka kukimbia maeneo yao

    Mar 27, 2017 23:26

    Jeshi la Iraq limetangaza kuwa, wanachama wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) limeua raia 227 wakazi wa Mosul, baada ya raia hao kutaka kukimbia kutoka maeneo yanayodhibitiwa na magaidi hao.

  • Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Iran yataka Marekani ishtakiwe kwa jinai za kivita baada ya mauaji ya Mosul

    Mar 26, 2017 22:13

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema kuwa, hujuma za ndege za kivita za Marekani katika mji wa Mosul, Iraq ambazo zimeua idadi kubwa ya raia, ni jinai za kivita.

  • HRW: Daesh imezika mamia ya watu katika kaburi la umati, Mosul

    HRW: Daesh imezika mamia ya watu katika kaburi la umati, Mosul

    Mar 23, 2017 00:20

    Shirika la kutetea haki za bindamu la Human Rights Watch (HRW) limeripoti kuwa kundi la kigaidi la Daesh limeua mamia ya mahabusi katika mji wa kaskazini mwa Iraq wa Mosul na kuwazika katika kaburi la umati ambalo yumkini likawa kubwa zaidi ya makaburi yote ya umati yaliyogunduliwa nchini Iraq hadi hivi sasa.

  • Licha ya upinzani wa Iraq, Trump asisitiza kubakia askari wa US nchini humo

    Licha ya upinzani wa Iraq, Trump asisitiza kubakia askari wa US nchini humo

    Mar 21, 2017 04:15

    Licha ya pingamizi ya raia na viongozi wa Iraq juu ya kuendelea kuwepo askari wa kigeni ndani ya ardhi ya nchi yao, Rais Donald Trump wa Marekani amesisitizia kuwa askari wa nchi yake hawapaswi kuondoka nchini humo.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq nchini Marekani; wasiwasi na matarajio yaliyopo

    Safari ya Waziri Mkuu wa Iraq nchini Marekani; wasiwasi na matarajio yaliyopo

    Mar 20, 2017 09:48

    Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al-Abadi, huku akiongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa nchi yake jana alielekea mjini Washington kwa lengo la kufanya safari rasmi nchini Marekani.

  • Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Fethullah Gülen: Erdoğan ni mnafiki asiyefaa kuaminiwa hata kidogo

    Mar 16, 2017 00:40

    Kiongozi wa harakati ya Jama'at Gülen ambaye pia ni mpinzani wa serikali ya Uturuki, amemtumia barua kiongozi wa eneo la Kurdistan nchini Iraq, Masoud Barzani, akimuonya vikali juu ya tabia yake ya kumwamini sana Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS