-
Magaidi 52 wa Daesh waangamizwa na jeshi la Iraq, Mosul
Apr 13, 2017 02:46Jeshi la Iraq limewaangamiza wanachama 52 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS katika operesheni za kusafisha eneo la magharibi mwa mkoa wa Mosul.
-
Alkhamisi, 13 Aprili, 2017
Apr 12, 2017 22:50Leo ni Alkhamisi tarehe 15 Rajab 1438 Hijria, sawa na Aprili 13, 2017.
-
Brigedia Jenerali Rasool: Daesh inadhibiti chini ya 7% ya ardhi ya Iraq
Apr 11, 2017 23:22Jeshi la Iraq limesema idadi ya ngome zilizokuwa zikidhibitiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo imedidimia kutoka asilimia 40 hadi chini ya asilimia 7 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
Iraq yasisitiza, kuna tofauti kubwa na za kimsingi na Saudi Arabia
Apr 04, 2017 23:37Waziri Mkuu wa Iraq amesema kwamba hitilafu zilizopo baina ya Baghdad na Riyadh ni za muda mrefu na kuongeza kuwa, Wairaq wanaitambua Saudi Arabia kuwa inahusika katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika nchini humo.
-
Kuna uwezekano kinara wa Daesh Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro wa Mosul
Apr 03, 2017 03:16Duru moja ya Iraq imetangaza kuwa kuna uwezekano kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro uliowekwa kwenye mkoa wa Mosul.
-
Marekani yakiri imeua raia 400 Syria na Iraq
Apr 03, 2017 00:07Muungano unaodaiwa ni wa kupambana na genge la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani umekiri kwamba katika kipindi cha baina ya mwaka 2014 hadi 2017 umeua karibu raia 400 nchini Iraq na Syria katika mashambulizi yake ya anga.
-
Iraq yasisitizia umuhimu wa kuwa na uhusiano mzuri na Iran
Apr 02, 2017 03:39Spika wa Bunge la Iraq amesema kuna haja ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jeshi la Iraq: Tumemuua kiongozi nambari mbili wa Daesh (ISIS) al-Anbar
Apr 01, 2017 12:22Jeshi la Iraq limetangaza Jumamosi ya leo habari ya kuuliwa kinara nambari mbili wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika shambulizi la anga, magharibi mwa mkoa wa al-Anbar nchini humo.
-
Mufti wa Waislamu wa Kisuni Iraq: Marekani ikirudi Iraq tutapambana nayo kijeshi
Apr 01, 2017 12:18Mufti wa Waislamu wa Kisuni nchini Iraq amesema kuwa, ikiwa Wamarekani wamekusudia tena kurudi nchini humo, watakabiliwa na mapambano ya kijeshi dhidi yao.
-
Iraq yaikatalia Marekani kuweka kambi zake za kijeshi nchini humo
Mar 29, 2017 09:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi yake haiwezi kuiruhusu Marekani kuweka kambi zake za kijeshi katika ardhi ya nchi hiyo.