Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kutoka malalamiko hadi mpasuko ndani ya chama; Netanyahu katika mashinikizo makubwa

    Kutoka malalamiko hadi mpasuko ndani ya chama; Netanyahu katika mashinikizo makubwa

    Dec 15, 2020 23:26

    Maandamano ya wiki ya 25 mtawalia dhidi ya Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa Utawala haramu wa Israel yamefanyika juma hili katika hali ambayo, chama cha Likud kinachoongozwa na mwanasiasa huyo kimekumbwa na mgawanyiko mkubwa.

  • Uturuki yamteua balozi mpya wa Israel baada ya miaka 2

    Uturuki yamteua balozi mpya wa Israel baada ya miaka 2

    Dec 14, 2020 08:48

    Uturuki imemteua balozi wake mpya wa Tel Aviv, zaidi ya miaka miwili baada ya Ankara kumuita nyumbani balozi wake aliyekuweko katika utawala haramu wa Israel.

  • Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Vyama vya Kiislamu Morocco vyapinga uhusiano wa nchi hiyo na Israel

    Dec 13, 2020 07:22

    Vyama vya Kiislamu nchini Morocco vimepinga vikali uamuzi wa ufalme wa nchi hiyo wa kuafikia kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel kufuatia mapatano yaliyosimamiwa na Marekani.

  • UN yailaumu Marekani kwa msimamo wake kuhusu Sahara Magharibi

    UN yailaumu Marekani kwa msimamo wake kuhusu Sahara Magharibi

    Dec 13, 2020 04:06

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameilaumu Marekani kwa kutangaza kulitambua rasmi eneo la Sahara Magharibi kuwa ni milki ya Morocco.

  • Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Muamala wa Trump kwa ajili ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni

    Dec 12, 2020 08:06

    Rais Donald Trump wa Marekani juzi Alhamisi alituma ujumbe katika ukurasa wake wa twitter na kueleza kuwa Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel zimefikia mapatano ya kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia.

  • Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Iran: Marekani inawashawishi wengine watoe muhanga kadhia ya Palestina

    Dec 12, 2020 03:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani inazishawishi nchi zingine kutoa muhanga kadhia ya Palestina na kuwapa mkono wezi kwa njia mbali mbali.

  • Kuzingirwa Gaza na taathira zake katika kuenea corona

    Kuzingirwa Gaza na taathira zake katika kuenea corona

    Dec 08, 2020 07:26

    Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza ambao unaendelea kuzingirwa pande zote na utawala ghasibu wa Israel, imetangaza kwamba maabara makuu ya ukanda huo yamefungwa kutokana na kutokuwa na suhula na vifaa vya kufanyia vipimo vya corona.

  • Waziri: Jeshi la Sudan linafanya juhudi za kupanua uhusiano na Israel bila kuifahamisha serikali

    Waziri: Jeshi la Sudan linafanya juhudi za kupanua uhusiano na Israel bila kuifahamisha serikali

    Dec 07, 2020 08:56

    Waziri wa Habari wa Sudan ametangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo linafanya juhudi za kupanua uhusiano na utawala haramu wa Israel bila kuifahamisha serikali.

  • Alkhamisi, 3 Disemba, 2020

    Alkhamisi, 3 Disemba, 2020

    Dec 02, 2020 23:09

    Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Mfunguo Saba Rabiu Thani 1442 Hijria mwafaka na tarehe 3 Disemba 2020 Miladia.

  • UN yailaani Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    UN yailaani Israel kwa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Dec 02, 2020 03:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaoendelea kufanywa na Israel katika ardhi za Wapalestina ni wa kiwango cha juu sana sasa hivi kuliko miaka minne iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS