Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Jan 22, 2020 08:28

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi Wapalestina watatu katika uzio wa Ukanda wa Gaza.

  • Hamas yakosoa hatua ya Imarati kuialika Israel katika Maonyesho ya Dubai

    Hamas yakosoa hatua ya Imarati kuialika Israel katika Maonyesho ya Dubai

    Jan 21, 2020 03:57

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu ya kuualika utawala haramu wa Israel kushiriki katika Maonyesho ya Dubai ya 2020 ni aina fulani ya kuufanya wa kawaida uhusiano wa taifa hilo la Kiarabu na Tel Aviv.

  • Wajordan waandamana kupinga makubaliano ya gesi na Israel

    Wajordan waandamana kupinga makubaliano ya gesi na Israel

    Jan 17, 2020 23:40

    Mamia ya wananchi wa Jordan wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo kufikia mapatano ya mabilioni ya dola ya gesi asilia na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Ndege ya abiria ya Ukraine yawaka moto Tel Aviv, Israel

    Jan 10, 2020 08:39

    Ndege ya abiria aina ya Boing 737-800 ya Shirika la Ndege la Ukraine, imewaka moto katika uwanja wa ndege wa Tel Aviv, Israel.

  • Alkhamisi , 9 Januari, 2020

    Alkhamisi , 9 Januari, 2020

    Jan 08, 2020 21:45

    Leo ni tarehe 13 Jamadil Awwal 1441 Hijria sawa na Januari 09 mwaka 2020.

  • Ripoti: Israel iliwateka nyara Wapalestina 5,500 mwaka 2019

    Ripoti: Israel iliwateka nyara Wapalestina 5,500 mwaka 2019

    Jan 01, 2020 04:33

    Shirika moja la kutetea haki za wafungwa limefichua kuwa, kwa akali Wapalestina 5,500 walitekwa nyara au kutiwa mbaroni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka uliomalizika wa 2019.

  • Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Dec 30, 2019 04:01

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv karibuni hivi itasaini makubaliano ya amani na kuufanya wa kawaida uhusiano wake na nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel: Tutaendeleza mauaji ya kigaidi huko Gaza

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel: Tutaendeleza mauaji ya kigaidi huko Gaza

    Dec 26, 2019 22:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, utawala huo utaanza tena kutekeleza mauaji ya kigaidi dhidi ya wanamapambano wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Iran yaonya; Israel itajuta kuanzisha mashambulizi dhidi ya Syria

    Iran yaonya; Israel itajuta kuanzisha mashambulizi dhidi ya Syria

    Dec 24, 2019 08:25

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kuanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya Syria akisisitiza kuwa, hujuma hizo hazitapita hivi hivi bila kupata jibu kali.

  • Waziri wa Israel aitaka Tel Aviv kubomoa kijiji kimoja cha Wapelestina kila siku

    Waziri wa Israel aitaka Tel Aviv kubomoa kijiji kimoja cha Wapelestina kila siku

    Dec 22, 2019 23:13

    Waziri wa Usafirishaji wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa kijiji kimoja cha Palestina kila siku na kuangamiza kabisa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ikiwa ni katika kulipiza kisasi dhidi ya uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuanza uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na utawala wa Israel katika Ukingo wa Magharibi ikiwemo Quds na Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS