-
Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel
Mar 20, 2018 03:52Ulinzi na usalama wa viwanja vya ndege vya Saudi Arabia umetiwa mikononi mwa shirika la Kizayuni la G4S kwa amri ya mfalme Salman bin Abdul Aziz wa nchi hiyo.
-
Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel
Mar 18, 2018 23:47Jamhuri ya Czech ipo chini ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuitaka ihamishie ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) kama ilivyofanya Marekani.
-
Lebanon kuongeza idadi ya askari katika mpaka wa ardhi zinazokaliwa na Israel
Mar 16, 2018 04:14Waziri Mkuu wa Lebanon Sa'ad Hariri amesema nchi yake itaongeza idadi ya wanajeshi katika eneo la mpaka wake na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Naim Qassem: Hizbullah iko tayari kujibu mashambulizi ya Israel
Mar 16, 2018 00:29Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, wanamapambano wa harakati hiyo wako tayari kukabiliana na shambulio lolote la kijeshi au chokochoko za utawala haramu wa Israel.
-
Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas
Mar 15, 2018 03:50Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.
-
Kamanda wa SEPAH: Israel haiwezi kuthubutu kuichokoza Iran
Mar 11, 2018 23:00Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel hauna uthubutu wa kuzusha chokochoko dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu wala uwezo wa kuhimili matokeo mabaya ya uchokozi huo.
-
Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu
Mar 09, 2018 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
-
Ripoti: Israel imewateka nyara wanawake 15,000 wa Kipalestina
Mar 07, 2018 10:45Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hapo kesho, ripoti mpya ya shirika moja la Palestina inaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni wanawake wasiopungua 15,000 wa Kipalestina tokea mwaka 1967 hadi sasa.
-
Mazungumzo ya Netanyahu na Trump sambamba na kuanza manuva makubwa ya kijeshi ya Marekani na Israel
Mar 06, 2018 23:42Rais Donald Trump wa Marekani ameunga mkono katika mazungumzo yake na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel misimamo ya utawala huo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kusema kwamba, yumkini akashiriki katika hafla ya ufunguzi wa ubalozi wa Washington huko Beitul-Muqaddas.
-
Hizbullah: Chimbuko la matatizo yote Mashariki ya Kati ni donda la saratani la Israel
Mar 05, 2018 00:33Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, chimbuko la matatizo yote katika nchi za Kiislamu na Kiarabu na hata kufukuzwa Wapalestina kutoka katika ardhi zao ni utawala ghasibu wa Israel.