Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 29, 2016 03:53

    Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umelaaniwa vikali kwa hatua yake ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC

    Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC

    Dec 27, 2016 04:19

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa una ushahidi madhubuti unaothibitisha kuwa Rais wa Marekani Barack Obama alihusika kikamilifu na kupitishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni; na kwamba nyaraka na ushahidi huo utampatia rais mteule wa Marekani tu Donald Trump.

  • 'Israel yaendelea kupoteza uungaji mkono duniani'

    'Israel yaendelea kupoteza uungaji mkono duniani'

    Dec 26, 2016 13:02

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema ataangalia upya uhusiano wa utawala huo na Umoja wa Mataifa.

  • Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel

    Dec 26, 2016 03:44

    Maulamaa nchini Bahrain wamelaani juhudi za utawala wa nchi hiyo za kuweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel

    Dec 25, 2016 04:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Jumapili, 25 Disemba, 2016

    Jumapili, 25 Disemba, 2016

    Dec 25, 2016 00:19

    Leo ni Jumapili tarehe 25 Rabiul Awwal inayosadifiana na Tarehe 25 Disemba 2016.

  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lapasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi, Palestina

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lapasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi, Palestina

    Dec 24, 2016 08:14

    Hatimaye baada ya miaka kadhaa ya walimwengu kusubiri jibu la jamii ya kimataifa dhidi ya ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zilizoporwa za Palestina, jana Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha azimio nambari 2334 linaloitaka Israel isitishe mara moja ujenzi huo katika ardhi zilizoghusubiwa za Palestina.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina

    Dec 24, 2016 04:08

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Trump aishurutisha Misri kuakhirisha azimio la UN dhidi ya Israel

    Trump aishurutisha Misri kuakhirisha azimio la UN dhidi ya Israel

    Dec 23, 2016 12:54

    Rais mteule wa Marekani amempigia simu Rais wa Misri na kuitaka Cairo iakhihirshe uwasilishaji wa rasimu ya azimio kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

  • Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto

    Dec 22, 2016 11:47

    Rais mteule wa Marekani ametaka kupigiwa kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS