-
Bahrain yalaaniwa kwa kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 29, 2016 03:53Utawala wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umelaaniwa vikali kwa hatua yake ya kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Israel: Tutampa Trump ushahidi wa kuhusika Obama na azimio la UNSC
Dec 27, 2016 04:19Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa una ushahidi madhubuti unaothibitisha kuwa Rais wa Marekani Barack Obama alihusika kikamilifu na kupitishwa katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni; na kwamba nyaraka na ushahidi huo utampatia rais mteule wa Marekani tu Donald Trump.
-
'Israel yaendelea kupoteza uungaji mkono duniani'
Dec 26, 2016 13:02Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema ataangalia upya uhusiano wa utawala huo na Umoja wa Mataifa.
-
Maulamaa wa Bahrain walaani uhusiano wa nchi yao na Israel
Dec 26, 2016 03:44Maulamaa nchini Bahrain wamelaani juhudi za utawala wa nchi hiyo za kuweka uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yakaribisha hatua ya Baraza la Usalama dhidi ujenzi wa vitongoji vya Israel
Dec 25, 2016 04:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Jumapili, 25 Disemba, 2016
Dec 25, 2016 00:19Leo ni Jumapili tarehe 25 Rabiul Awwal inayosadifiana na Tarehe 25 Disemba 2016.
-
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lapasisha azimio dhidi ya ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi, Palestina
Dec 24, 2016 08:14Hatimaye baada ya miaka kadhaa ya walimwengu kusubiri jibu la jamii ya kimataifa dhidi ya ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi zilizoporwa za Palestina, jana Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha azimio nambari 2334 linaloitaka Israel isitishe mara moja ujenzi huo katika ardhi zilizoghusubiwa za Palestina.
-
Baraza la Usalama lapasisha azimio dhidi ya Israel, ushindi kwa Palestina
Dec 24, 2016 04:08Hatimaye baada ya vuta nikuvute, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutaka kusimamishwa mara moja ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Trump aishurutisha Misri kuakhirisha azimio la UN dhidi ya Israel
Dec 23, 2016 12:54Rais mteule wa Marekani amempigia simu Rais wa Misri na kuitaka Cairo iakhihirshe uwasilishaji wa rasimu ya azimio kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Trump ataka azimio la UN dhidi ya Israel lipigiwe kura ya veto
Dec 22, 2016 11:47Rais mteule wa Marekani ametaka kupigiwa kura ya turufu azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.