Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Iran yalaani jinai na uvamizi wa mfululizo wa Israel dhidi ya Syria

    Iran yalaani jinai na uvamizi wa mfululizo wa Israel dhidi ya Syria

    Dec 10, 2024 03:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali uvamizi na mashambulizi ya mara kwa mara wa utawala wa Kizayuni dhidi ya miundombinu ya Syria ambapo Israel imeteka na kukalia kwa mabavu maeneo mengine ya Syria katika kipindi cha siku chache zilizopita.

  • Ujerumani; Kuanzia historia yake ya giza hadi kuunga mkono Israeli katika vita vya Gaza

    Ujerumani; Kuanzia historia yake ya giza hadi kuunga mkono Israeli katika vita vya Gaza

    Nov 28, 2024 05:31

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki ambachao kinazungumzia uungaji mkono usio na kikomo wa Ujerumani na kushirikiana kwake na utawala wa Kizayuni wa Israel katika vita vya Gaza.

  • Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi

    Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi

    Nov 24, 2024 10:24

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa utekelezaji na kushikamana nchi za Magharibi na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuwakamata viongozi wa utawala wa Kizayuni ni mtihani wa kupima azma na uwajibikaji wa Wamagharibi kuhusu hukumu hiyo.

  • Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

    Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

    Nov 16, 2024 09:03

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za lazima ili kukomesha jinai za utawala ghasibu wa Israel.

  • Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

    Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

    Nov 16, 2024 08:30

    Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza kuwa wananchi wa Palestina wana haki ya kujiainishia mustakbali wao katika ardhi za Palestina, na kwamba wana haki ya kuwa huru, kujitawala na kujikomboa haraka kutoka katika makucha ya ukaliaji mabavu wa utawala wa Kizayuni.

  • Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati

    Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati

    Nov 15, 2024 23:20

    Vedant Patel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ametoa matamshi ambayo yanaonyesha kuwa Marekani haiko tayari kwa vyo vyote vile kumuwajibisha mshirika wake wa jinai za kivita, yaani utawala haramu wa Israel, na kuwa inatosheka tu kwa kutoa madai matupu yasiyo na maana kuhusiana na suala zima la haki za binadamu.

  • Mbunge wa UK: FIFA na UEFA zina 'nyuso mbili za ubaguzi wa rangi' kwa maslahi ya Israel

    Mbunge wa UK: FIFA na UEFA zina 'nyuso mbili za ubaguzi wa rangi' kwa maslahi ya Israel

    Nov 14, 2024 02:38

    Mbunge wa chama cha Leba nchini Uingereza Zarah Sultana amekosoa vikali mashirikisho ya juu ya soka duniani ya FIFA na UEFA kwa kutoziadhibu timu za soka za Israel wakati utawala huo wa Kizayuni unaendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Afrika Kusini yatoa ushahidi ICJ kuonesha Israel inavyowatesa kwa njaa Wapalestina wa Ghaza

    Afrika Kusini yatoa ushahidi ICJ kuonesha Israel inavyowatesa kwa njaa Wapalestina wa Ghaza

    Nov 13, 2024 08:29

    Afrika Kusini imesema, ushahidi iliotoa katika kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) unaonyesha jinsi Tel Aviv inavyotumia njaa kama silaha ya vita, lengo likiwa ni kuifanya Ghaza isibaki kuwa na wakazi Wapalestina kwa kuwamaliza kupitia mbinu ya mauaji ya kimbari na kuwahamisha kwa nguvu.

  • UN: Nchi zinazohusika ziache kuzipatia silaha pande zinazopigana nchini Sudan

    UN: Nchi zinazohusika ziache kuzipatia silaha pande zinazopigana nchini Sudan

    Nov 13, 2024 08:26

    Umoja wa Mataifa umesema, kuendelea kuwasambazia silaha askari wa jeshi na wa vikosi vya wanamgambo wanaopigana nchini Sudan ndiko "kunakowezesha kufanyika uchinjaji" na lazima kukomeshwe wakati raia wa nchi hiyo wanaendelea kubeba mzigo mkubwa wa vita.

  • Walebanon waandamana nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria

    Walebanon waandamana nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria

    Nov 10, 2024 03:20

    Raia wa Lebanon wanaoishi nchini Afrika Kusini wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Israel mjini Pretoria, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni unaendeleza vita na mashambulizi ya kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS