Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Nov 09, 2024 22:41

    Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.

  • Kambi ya Israel ya Nevatim yapigwa kwa kombora la hypersonic

    Kambi ya Israel ya Nevatim yapigwa kwa kombora la hypersonic

    Nov 08, 2024 23:51

    Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree amesema vikosi vya nchi hiyo vimefanikiwa kushambulia kambi hasasi ya kijeshi ya Israel ya Nevatim kwa kombora la balestiki la hypersonic.

  • IRGC: Uhalisia wa kushindwa Israel unakaribia kutimia

    IRGC: Uhalisia wa kushindwa Israel unakaribia kutimia

    Nov 08, 2024 23:50

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kisasi cha hivi karibuni cha Iran dhidi ya Israel kilionyesha sehemu ndogo tu ya uwezo wa taifa hili.

  • Wabunge wa Ireland wataka Israel iwekewe vikwazo

    Wabunge wa Ireland wataka Israel iwekewe vikwazo

    Nov 08, 2024 23:50

    Wabunge katika Jamhuri ya Ireland kwa kupasishwa hoja katika bunge la nchi hiyo, wameitaka serikali yao kuuwekea vikwazo utawala haramu wa Israel kutokana na mauaji yake dhidi ya raia wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi

    Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi

    Nov 05, 2024 23:35

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amemfuta kazi Waziri wa Vita wa utawala huo, Yoav Gallant kutokana na kushindwa kwa utawala huo wa Kizayuni kukabiliana na mrengo wa Muqawama katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

    Nov 05, 2024 22:44

    Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), imelaani uovu wa utawala wa Kizayuni na hujuma yake ya makusudi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutangaza kuwa, shambulio hilo ni ukiukaji mkubwa wa mamlaka na umoja wa ardhi ya Iran.

  • Ripoti: Israel imevurumishiwa makombora 26,000 tokea Oktoba 7

    Ripoti: Israel imevurumishiwa makombora 26,000 tokea Oktoba 7

    Nov 03, 2024 03:14

    Makombora zaidi ya 26,000 yamevurumishwa kuelekea katika maeneo ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu (Israel), tokea utawala huo wa Kizayuni uanzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba mwaka jana.

  • Waingereza waandamana 'Siku ya Balfour' kulaani jinai za Israel Gaza

    Waingereza waandamana 'Siku ya Balfour' kulaani jinai za Israel Gaza

    Nov 03, 2024 02:46

    Makumi ya maelfu ya watu nchini Uingereza waamemiminika mabarabarani mjini London kushiriki maandamano ya kupinga mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza katika Siku ya Balfour, kumbukizi ya kila mwaka ya kuadhimisha nafasi ya Uingereza katika kuasisiwa utawala wa Kizayuni mwaka 1917.

  • Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

    Nov 02, 2024 07:44

    Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika 'juhudi za amani' zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Kamanda wa IRGC: Israel itakabiliwa na jibu lisilofikirika

    Kamanda wa IRGC: Israel itakabiliwa na jibu lisilofikirika

    Nov 01, 2024 07:02

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ameionya Israel kwamba, itapata jibu kali na zito kwa kitendo chake cha hivi karibuni cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu; jibu ambalo halifikiriki wala kutasawirika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS