Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

    Nov 01, 2024 07:00

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema zaidi ya maafisa na wanajeshi 95 wa Israel wameuawa na wengine wasiopungua 900 wamejeruhiwa tangu utawala huo ghasibu uanzishe operesheni ya nchi kavu dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina

    Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina

    Oct 31, 2024 07:36

    Kuendelea mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza kumeifanya timu ya wanasheria wa Afrika Kusini kuwasilisha kesi inayokaribia kurasa 5,000 dhidi ya utawala katili wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).

  • Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani

    Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani

    Oct 30, 2024 23:07

    Vyombo vya ulinzi vya Iran vimesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo ya uchokozi wowote wa Israel dhidi ya ardhi yake, hata kama hatua hiyo ni ndogo na isiyo na tija, kama kurusha mshale kuelekea kwenye jangwa moja la nchi hii.

  • Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Sheikh Qassem: Hizbullah itazima 'mpango mkubwa' wa Israel katika eneo

    Oct 30, 2024 23:07

    Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la mapambano ya Kiislamu litaendelea kupambana kwa shabaha ya kusambaratisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya eneo zima la Asia Magharibi.

  • Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni

    Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni

    Oct 30, 2024 06:35

    Katika kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika karibuni kwa ajili ya kijadili suala la hujuma ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, nchi nyingi zikiwemo Algeria, China, Russia, Iraq na Syria zimelaani vikali kitendo hicho cha uchokozi na kutaka uchokozi huo ukomeshwe mara moja.

  • Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami

    Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami

    Oct 30, 2024 00:00

    Msemaji wa serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujilinda na kusisitiza kuwa, nchi hii itatekeleza haki hiyo "halali" kwa "wakati na mahali mwafaka."

  • Israel yauwa raia wasiopungua 93 katika hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahia

    Israel yauwa raia wasiopungua 93 katika hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahia

    Oct 29, 2024 08:49

    Ndege za kivita za Israel zimeshambulia kwa mabomu jengo la makazi ya raia linalowahifadhi Wapalestina waliolazimika kuhama makazi yao kaskazini mwa Ukanda wa Gaza na kuua makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 29, 2024 04:20

    Takwimu rasmi za makadirio zilizochapishwa zinaonyesha kuwa, Marekani imetoa zaidi ya dola bilioni 22 za silaha na misaada ya kijeshi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika kipindi cha mwaka mmoja tu uliopita.

  • Rais Pezeshkian: Wairani watajibu chokochoko za maadui dhidi ya nchi yao

    Rais Pezeshkian: Wairani watajibu chokochoko za maadui dhidi ya nchi yao

    Oct 26, 2024 23:40

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ametoa rambirambi zake kufuatia kuuawa shahidi maafisa usalama wa nchi hii katika mashambulizi ya kichokozi ya jana Jumamosi ya utawala wa Kizayuni na kundi la kigaidi linaloungwa mkono na maajinabi.

  • Tehran: Tuna haki halali ya kujihami mkabala wa uvamizi wa Wazayuni

    Tehran: Tuna haki halali ya kujihami mkabala wa uvamizi wa Wazayuni

    Oct 26, 2024 07:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni ya kushambulia baadhi ya vituo vya kijeshi hapa nchini, na kuitaja kuwa ni ukiukwaji wa wazi wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS