Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Hamas: Kuuawa makamanda wa Hizbullah hakuifanyi Israeli kuwa salama zaidi

    Hamas: Kuuawa makamanda wa Hizbullah hakuifanyi Israeli kuwa salama zaidi

    Sep 28, 2024 22:47

    Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Beirut, Hamas imeonya kuwa, hatua hizo hazitaifanya Israel kuwa sehemu salama zaidi.

  • Guardian: Shambulio lolote la ardhini litakalofanywa na Israel dhidi ya Lebanon litafeli

    Guardian: Shambulio lolote la ardhini litakalofanywa na Israel dhidi ya Lebanon litafeli

    Sep 28, 2024 07:50

    Gazeti la Guardian la Uingereza limeandika kuwa operesheni yoyote ya ardhini itakayofanywa na utawala wa Israel dhidi ya Lebanon itafeli na kugonga mwamba.

  • Tuhuma na misimamo ya kurudiwarudiwa ya Marekani kwa ulimi wa Joe Biden katika Umoja wa Mataifa

    Tuhuma na misimamo ya kurudiwarudiwa ya Marekani kwa ulimi wa Joe Biden katika Umoja wa Mataifa

    Sep 26, 2024 00:28

    Jumanne ya wiki hii, rais wa Marekani, Joe Biden, alitoa hotuba yake ya mwisho katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York na kukariri madai ya uongo ya siku zote dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na dhidi ya kambi ya Muqawama. Rais wa Marekani alidai kuwa eti serikali yake inapigania kuleta amani na utulivu katika ukanda wa Asia Magharibi.

  • China yakosoa na kulaani jinai za Israel nchini Lebanon

    China yakosoa na kulaani jinai za Israel nchini Lebanon

    Sep 21, 2024 23:28

    Mwakilishi wa China katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, mashambulizi ya kikatili, ya kutisha na yasiyo na mfano ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Lebanon ni ukiukaji mkubwa wa mamlaka ya nchi huru, sheria za kimataifa na za kibinadamu.

  • Maafisa wa US hawaamini kama vita vitaweza kusimamishwa Ghaza wakati wa urais wa Biden

    Maafisa wa US hawaamini kama vita vitaweza kusimamishwa Ghaza wakati wa urais wa Biden

    Sep 19, 2024 23:50

    Maafisa kadhaa wa serikali ya Marekani wameliambia gazeti la Wall Stree Journal kwamba hawaamini kama makubaliano ya kusitisha vita kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na harakati ya Hamas huko Ghaza yataweza kufikiwa kabla ya Rais Joe Biden kuondoka madarakani mwezi Januari.

  • Kampuni ya Taiwan yakanusha kutengeneza vifaa vya mawasiliano vilivyoripuka Lebanon

    Kampuni ya Taiwan yakanusha kutengeneza vifaa vya mawasiliano vilivyoripuka Lebanon

    Sep 18, 2024 04:25

    Kampuni ya Gold Apollo ya Taiwan imekanusha kuwa ndiyo iliyotengeneza vifaa vya mawasiliano vya 'Pagers' vilivyoripuka nchini Lebanon.

  • Tehran, Beirut zajadili jinai mpya ya kigaidi ya Israel huko Lebanon

    Tehran, Beirut zajadili jinai mpya ya kigaidi ya Israel huko Lebanon

    Sep 17, 2024 23:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amelaani vikali hujuma mpya ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni iliyowalenga raia wasio na hatia nchini Lebanon.

  • Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Kuendelea visa vya watu kujichoma moto huko Marekani; nembo ya kupinga vita vya Ukanda wa Gaza

    Sep 16, 2024 07:47

    Raia mmoja wa Marekani aliyejulikana kwa jina na Matt Nelson amejichoma moto katika mji wa Boston akipinga na kulalamikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Israel yaunda kikosi maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar

    Israel yaunda kikosi maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar

    Sep 15, 2024 04:01

    Shirika la kijasusi la ndani la Israel Shin Bet (Shabak) limeunda kitengo maalumu cha kumuua kigaidi Yahya Sinwar, Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS.

  • Shambulio la kigaidi la Israel kusini mwa Lebanon laua shahidi mtu mmoja na kujeruhi wengine 13

    Shambulio la kigaidi la Israel kusini mwa Lebanon laua shahidi mtu mmoja na kujeruhi wengine 13

    Sep 14, 2024 07:01

    Mtu mmoja ameuawa shahidi na wengine 13 kujeruhiwa katika mashambulio la kigaidi la utawala wa kigaidi wa Israel huko kusini mwa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS