Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Utafiti: Aghalabu ya Wasaudia wanapinga uhusiano wa Waarabu na Israel

    Utafiti: Aghalabu ya Wasaudia wanapinga uhusiano wa Waarabu na Israel

    Mar 21, 2024 07:34

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa, akthari ya wananchi wa Saudi Arabia si tu wanapinga nchi yao kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, bali pia wanataka nchi zote za Kiarabu zivunje mahusiano yao na utawala wa Kizayuni.

  • Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Ukosoaji wa Afrika Kusini dhidi ya Israel kwa kukaidi uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Mar 21, 2024 04:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa kutotekelezwa maamuzi ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya Israel kunaidhoofisha mahakama hiyo.

  • Muqawama wa Iraq washambulia uwanja wa ndege Tel Aviv

    Muqawama wa Iraq washambulia uwanja wa ndege Tel Aviv

    Mar 20, 2024 23:23

    Kwa mara nyingine tena wanamuqawama wa Iraq wameshambulia Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion katika mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, Tel Aviv.

  • Israel: Tumeua watu 90 katika Hospitali ya al-Shifa

    Israel: Tumeua watu 90 katika Hospitali ya al-Shifa

    Mar 20, 2024 22:41

    Jeshi la utawala haramu wa Israel limekiri na kutangaza wazi kuwa askari wake wameua Wapalestina 90 katika uvamizi na hujuma ya siku mbili katika Hospitali ya al-Shifa huko katika Ukanda wa Gaza.

  • Misri: Operesheni ya kijeshi ya Israel huko Rafah itakuwa na matokeo mabaya

    Misri: Operesheni ya kijeshi ya Israel huko Rafah itakuwa na matokeo mabaya

    Mar 18, 2024 23:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema Marekani inapasa kuileza wazi Israel kuhusu taathira hasi na matokeo mabaya ya utawala wa Kizayuni kuushambulia kijeshi mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Muqawama wa kupambana na Israel umevuka mipaka ya Ghaza

    HAMAS: Muqawama wa kupambana na Israel umevuka mipaka ya Ghaza

    Mar 18, 2024 07:43

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala wa Kizayuni wa Israel unakabiliwa na "safu pana zaidi" ya Muqawama iliyovuka mpaka wa Ukanda wa Ghaza.

  • HRW: Magharibi inaendelea kuipatia Israel silaha wakati inajadili kupeleka misaada Ghaza

    HRW: Magharibi inaendelea kuipatia Israel silaha wakati inajadili kupeleka misaada Ghaza

    Mar 18, 2024 07:43

    Wakati wabunge katika nchi nyingi za Magharibi wanajadili ni kwa kiwango gani utawala wa Kizayuni wa Israel unaweza ukawa unakwamisha upitishaji misaada ya kuokoa maisha ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza, mauzo ya silaha ambayo yanachangia vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala huo dhidi ya eneo hilo lililowekewa mzingiro yangali yanaendelea kumiminika.

  • Mkuu wa WHO aiambia Israel: 'Kwa jina la ubinadamu' futeni mpango wa kuivamia kijeshi Rafah

    Mkuu wa WHO aiambia Israel: 'Kwa jina la ubinadamu' futeni mpango wa kuivamia kijeshi Rafah

    Mar 17, 2024 02:26

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeutaka kwa msisitizo mkubwa utawala wa Kizayuni wa Israel uchukue uamuzi wa kufuta mpango wake wa kuuvamia na kuushambulia kijeshi kupitia ardhini mji wa Rafah ulioko kusini ya Ukanda wa Ghaza, unaohimili vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala huo.

  • Jihadul Islami: US na Isreal zinafuatilia malengo sawa Gaza

    Jihadul Islami: US na Isreal zinafuatilia malengo sawa Gaza

    Mar 16, 2024 03:50

    Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema pamoja na unafiki na hadaa za Marekani, lakini dola hilo la kiistikbari linafuatilia malengo yanayoshabihiana na ya Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza

    Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza

    Mar 15, 2024 22:53

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ambaye katika siku za hivi karibuni ameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa unatumia "njaa kama silaha" katika vita vya Gaza, ameonya kuwa utawala huo unawaua watu wa Gaza kwa umati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS