Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Kushadidi mashinikizo dhidi ya waungaji mkono wa Palestina nchini Marekani

    Kushadidi mashinikizo dhidi ya waungaji mkono wa Palestina nchini Marekani

    Dec 12, 2023 23:09

    Marekani ikiwa ni muungaji mkono mkuu wa utawala wa Kizayuni sio tu kwamba, imetoa uungaji mkono mkubwa wa kisiasa na kisilaha kwa utawala huo wakati wa vita vya Gaza, bali mfumo tawala wa Washington pia umeongeza mashinikizo dhidi ya waungaji mkono wa Wapalestina na wakosoaji wa jinai za utawala ghasibu wa Israel.

  • Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wengi wanapinga sera ya Biden kuhusu vita vya Gaza

    Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wengi wanapinga sera ya Biden kuhusu vita vya Gaza

    Dec 11, 2023 23:29

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa na televisheni ya Marekani ya CBS News umeonyesha kuwa asilimia kubwa ya Wamarekani wanapinga jinsi Rais Joe Biden anavyoshughulikia vita vya Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.

  • Uhalalishaji Marekani kura yake ya turufu kuhusu mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza

    Uhalalishaji Marekani kura yake ya turufu kuhusu mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza

    Dec 11, 2023 23:09

    Licha ya matakwa ya kimataifa ya kusitishwa mara moja vita vya mauaji ya kimbari ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza, lakini Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, imepinga maombi hayo na inaendelea kuwasha moto wa vita hivyo vya umwagaji damu kwa kutuma silaha za kila aina huko Gaza.

  • Msimamo imara wa wananchi na vyama vya Uturuki kuhusu uhusiano na Israeli na uwepo wa Marekani huko Incirlik

    Msimamo imara wa wananchi na vyama vya Uturuki kuhusu uhusiano na Israeli na uwepo wa Marekani huko Incirlik

    Dec 11, 2023 07:30

    Kufuatia kuendelea jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Gaza na uungaji mkono mkubwa wa Marekani kwa jinai hizo, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano mjini Istanbul na kutoa matakwa mapya kwa serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan.

  • HAMAS: Hatutawaachia mateka wa Israel mpaka matakwa yetu yatakapotekelezwa

    HAMAS: Hatutawaachia mateka wa Israel mpaka matakwa yetu yatakapotekelezwa

    Dec 11, 2023 00:18

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, kamwe haitasalimu amri kwa mashambulizi ya kinyama ya mtawalia yanayofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza ili iwaachilie mateka wa utawala huo iliowakamata katika operesheni yake ya Kimbunga cha Al-Aqsa iliyotekeleza mapema mwezi Oktoba.

  • Ripoti: Israel imeua makumi ya wanariadha wa Palestina tangu Oktoba 7

    Ripoti: Israel imeua makumi ya wanariadha wa Palestina tangu Oktoba 7

    Dec 09, 2023 23:25

    Israel imeua shahidi makumi ya wanariadha na wamamichezo wa Palestina tangu utawala huo wa Kizayuni uanzishe mashambulizi ya kutisha dhidi ya Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 7.

  • HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    HAMAS yalaani kitendo cha askari wa Israel cha kuwakashifu Wapalestina kwa kuwavua nguo hadharani

    Dec 09, 2023 02:49

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani kitendo cha wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel cha kuwalazimisha kuvua nguo Wapalestina wapatao 100 waliowakamata; na kuwakashifu kwa kuwaweka hadharani katika barabara za Ukanda wa Gaza wakiwa wamebaki na nguo za ndani tu.

  • HRW: Israel inapasa kuchunguzwa kuhusu uhalifu wa kivita kufuatia mauaji ya mwandishi wa habari Lebanon

    HRW: Israel inapasa kuchunguzwa kuhusu uhalifu wa kivita kufuatia mauaji ya mwandishi wa habari Lebanon

    Dec 07, 2023 12:01

    Mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameeleza kuwa mashambulizi ya Israel yaliyouwa mwandishi wa habari na kujeruhi wengine sita huko kusini mwa Lebanon inawezekana yalikuwa mashambulizi ya moja kwa moja dhidi ya raia na ni lazima yachunguzwa kama jinai za kivita.

  • Israel yashambulia kwa mabomu shule 2 Gaza, 50 wauawa shahidi

    Israel yashambulia kwa mabomu shule 2 Gaza, 50 wauawa shahidi

    Dec 05, 2023 03:24

    Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimeshambulia kwa mabomu shule mbili katika Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.

  • Mashirika ya haki Palestina yaonya kuhusu 'Nakba ya Pili' Gaza

    Mashirika ya haki Palestina yaonya kuhusu 'Nakba ya Pili' Gaza

    Dec 05, 2023 03:22

    Mashirika matatu ya kutetea haki za binadamu ya Palestina yameashiria hatua ya Israel ya kuwafukuza kwa umati Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kutahadharisha kuwa, utawala huo wa Kizayuni unapanga kukariri Nakba ya pili katika eneo hilo lililozingirwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS