-
Wasiwasi wa viongozi wa Ulaya kuhusu kuenea barani humo uungaji mkono kwa taifa la Palestina
Nov 01, 2023 02:58Kutokana na kuendelea hujuma ya kinyama inayofanywa na utawala haramu wa Isreal katika Ukanda wa Ghaza na mauaji ya umati yanayofanywa kila siku na utawala huo dhidi ya Wapalestina hususan watoto na wanawake, mwenendo wa uungaji mkono wa kimataifa kwa kadhia ya Palestina na kulaaniwa vitendo vya jinai za Israel katika ukanda huo umeongezeka, suala ambalo limewatia wasiwasi mkubwa watawala wa Ulaya.
-
Jenerali wa Iran: Makamanda wa US wapo Tel Aviv kuongoza mauaji ya kimbari Gaza
Oct 31, 2023 23:32Kamanda wa Kamandi Kuu ya Khatam al-Anbiya ya Jeshi la Iran amesema makamanda wa Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM), na vile vile makamanda wa Kikosi cha Majini cha nchi hiyo wapo Tel Aviv kuwasaidia maafisa wa utawala haramu wa Israel kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Oman yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai zake huko Gaza
Oct 31, 2023 23:32Oman imeitaka jamii ya kimataifa iibebeshe dhima Israel kwa jinai zake za kutisha katika Ukanda wa Gaza, na pia dunia ichukue hatua za dharura za kukomesha mauaji ya halaiki ya Wapalestina wasio na hatia.
-
Ansarullah ya Yemen yafanya shambulizi la droni dhidi ya Israel
Oct 31, 2023 23:31Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefanya mashambulizi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Iwapo vita vitapanuka, Israel haitabakia chochote
Oct 31, 2023 02:49Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa ni dhihirisho la umakini na muono wa mbali wa Muqawama na akasisitiza kuwa: "iwapo vita vitapanuka, Israel haitabakia chochote".
-
Umati wa watu wenye hasira wavamia uwanja wa ndege Russia kuzuia ndege za Israel zisitue
Oct 30, 2023 10:41Mamia ya watu wenye hasira wamevamia uwanja mkuu wa ndege katika eneo la Dagestan nchini Russia, wakipinga kutua ndege zinazotoka Israel wakati utawala huo haramu wa Kizayuni ukiwa unaendeleza mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Raisi: Kulaaniwa Israel katika Baraza Kuu la UN ni mafanikio muhimu
Oct 29, 2023 23:30Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya hivi karibuni ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio juu ya vita vya Gaza ni mafanikio muhimu katika mkondo wa kusitisha jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
Pyongyang: Israel imefanya jinai ya kivita kwa kushambulia hospitali Gaza
Oct 26, 2023 23:00Korea Kaskazini imelaani vikali shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya Hospitali ya Al Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza mnamo Oktoba 17 na kuua mamia ya wananchi wa Paalestina.
-
Brigedi za Qassam zatungua helikopta ya Israel Ukanda wa Gaza
Oct 26, 2023 08:53Brigedi za Izzuddin Qassam, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza habari ya kufanikiwa kutungua helikopta ya utawala haramu wa Israel, ikiwa ni kuendelea kujibu jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Erdogan: HAMAS si kundi la magaidi, bali wapigania ukombozi
Oct 26, 2023 08:53Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amefuta safari yake ya kuzitembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel na kusisitiza kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS si kundi la magaidi, bali ni kundi la wapigania ukombozi.