Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Oct 12, 2023 23:05

    Matukio ya hivi karibuni ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu hususan operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, kwa hakika mauaji ya halaiki ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, yameubua migawanyiko kati ya wanasiasa wa Marekani.

  • Tovuti ya Marekani

    Tovuti ya Marekani "The Grayzone" yafichua chanzo cha uongo wa Biden kuhusu kukatwa vichwa watoto wa Israel

    Oct 12, 2023 08:38

    Tuvuti ya habari ya Marekani imefichua ukweli kuhusu uongo uliosemwa na Rais Joe Biden alipodai kuwa wanachama wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) waliwakata vichwa watoto wadogo wakati wa operesheni ya kijeshi ya Kimbunga cha al Aqsa Jumamosi iliyopita.

  • Putin: Israel imepora ardhi halali ya Wapalestina kwa kutumia jeshi

    Putin: Israel imepora ardhi halali ya Wapalestina kwa kutumia jeshi

    Oct 11, 2023 23:02

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema utawala haramu wa Israel umenyakua sehemu kubwa ya ardhi ya halali ya Wapalestina kwa kutumia vikosi vya jeshi la utawala huo wa Kizayuni.

  • Jeshi la Israel lakiri: Zaidi ya Wazayuni 1,200 wameuawa

    Jeshi la Israel lakiri: Zaidi ya Wazayuni 1,200 wameuawa

    Oct 10, 2023 23:29

    Jeshi la utawala haramu wa Israel limeungama na kusema kuwa Wazayuni zaidi ya elfu moja na 200 wameangamizwa na wapiganaji wa makundi ya mapambano ya Palestina, tangu Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ilipoanza Jumamosi iliyopita.

  • Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:16

    Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.

  • Wapalestina wateka kituo cha kijeshi, waangamiza na kuteka askari wengi wa Israel katika Operesheni ya

    Wapalestina wateka kituo cha kijeshi, waangamiza na kuteka askari wengi wa Israel katika Operesheni ya "Kimbunga cha Al-Aqsa"

    Oct 07, 2023 11:57

    Wapalestina leo wametekeleza operesheni kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa miaka mingi dhidi ya Israel, ya mashambulio ya kushtukiza ambayo yamefanywa na wanamapambano waliovuka uzio na kuingia katika miji inayokaliwa kwa mabavu, sambamba na msururu mkubwa wa maroketi yaliyovurumishwa kutokea Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kupinga uhusiano wa kawaida na Israel

    Oct 07, 2023 03:56

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Morocco wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel; uhusiano ambao kwa sasa umefikisha mwaka mmoja.

  • Askari makatili wa Israel wawaua shahidi vijana 2 wa Kipalestina Tulkarm

    Askari makatili wa Israel wawaua shahidi vijana 2 wa Kipalestina Tulkarm

    Oct 05, 2023 23:17

    Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina katika mji Tulkarm, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jordan yalaani Wazayuni kuuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Jordan yalaani Wazayuni kuuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa

    Oct 03, 2023 23:38

    Serikali ya Jordan imekosoa vikali hatua ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel kuwashambulia waumini wa Kipalestina, huku mamia ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali wakiingia kwa mabavu katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa huko Quds (Jerusalem) Mashariki inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

  • Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Qatar yataka vituo vya nyuklia vya Israel vikaguliwe na IAEA

    Sep 30, 2023 23:08

    Qatar imetaka vituo vya nyuklia vya utawala wa Israel viwe chini usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) huku utawala huo ukiendelea kupuuza kanuni za kimataifa za nyuklia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS