Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • HAMAS yataka kuendelezwa muqawama dhidi ya Wazayuni

    HAMAS yataka kuendelezwa muqawama dhidi ya Wazayuni

    Sep 30, 2023 01:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema kuna haja ya kuendeleza muqawama na mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waziri wa Israel yuko Saudia katika ziara ya kwanza ya wazi

    Waziri wa Israel yuko Saudia katika ziara ya kwanza ya wazi

    Sep 26, 2023 10:47

    Waziri wa Utalii wa utawala wa Kizayuni wa Israel amewasili Riyadh kushiriki mkutano wa Umoja wa Mataifa, hii ikiwa ni ya ziara ya kwanza ya afisa wa ngazi ya waziri wa utawala huo haramu nchini Saudi Arabia, kufanyika hadharani.

  • Askari wa Israel wawashambulia waandamanaji wa Kipalestina, 30 wajeruhiwa

    Askari wa Israel wawashambulia waandamanaji wa Kipalestina, 30 wajeruhiwa

    Sep 23, 2023 04:11

    Wanajeshi makatili wa utawala haramu wa Israel wamewashambulia waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 30 miongoni mwao.

  • Netanyahu: DRC itahamishia ubalozi wake Quds kutoka Tel Aviv

    Netanyahu: DRC itahamishia ubalozi wake Quds kutoka Tel Aviv

    Sep 23, 2023 00:35

    Waziri wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo karibuni itauhamishia ubalozi wake mjini Quds (Jerusalem) kutoka Tel Aviv.

  • Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi

    Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi

    Sep 20, 2023 03:47

    Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza.

  • Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa vitisho vya Israel

    Iran: Tutatoa jibu madhubuti kwa vitisho vya Israel

    Sep 15, 2023 08:25

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu madhubuti kwa vitisho vyovyote na vitendo haramu vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa hili.

  • 'Wadukuzi wa Iran' wapenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ya Israel

    'Wadukuzi wa Iran' wapenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ya Israel

    Sep 12, 2023 02:58

    Tovuti ya Israel ya Ynetnews imeripoti kuwa wadukuzi wa Iran wamefanikiwa kupenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ndani ya utawala huo haramu wa Kizayuni.

  • OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    OIC: Papua New Guinea imefanya makosa kwa kufungua ubalozi Quds

    Sep 08, 2023 04:07

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imekosoa vikali hatua ya Papua New Guinea kufungua ubalozi katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hizbullah yaikosoa Bahrain kwa kuruhusu kufunguliwa ubalozi wa Israel

    Hizbullah yaikosoa Bahrain kwa kuruhusu kufunguliwa ubalozi wa Israel

    Sep 06, 2023 07:06

    Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeujia juu utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain kwa kuuruhusu utawala haramu wa Israel kufungua ubalozi wake katika nchi hiyo ya Kiarabu ya Ghuba ya Uajemi.

  • Wakuu wa muqawama Palestina na Lebanon kutoa jibu la pamoja dhidi ya Israel

    Wakuu wa muqawama Palestina na Lebanon kutoa jibu la pamoja dhidi ya Israel

    Sep 03, 2023 04:11

    Viongozi wa harakati za muqawama za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS