-
7 wakamatwa Italia kwa magendo ya wanawake wa Nigeria
Dec 19, 2017 10:06Polisi nchini Italia imewatia mbaroni watu saba wanaotuhumiwa kuhusika na magendo ya wanawake wa Nigeria kwa ajili ya kuwaingiza katika biashara haramu ya ukahaba katika nchi hiyo ya Ulaya.
-
Libya na Italia zakubaliana kuanzisha oparesheni za kukabiliana na magendo ya wahajiri
Dec 10, 2017 23:59Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imekubaliana na Italia kuanzisha vyumba vya pamoja vya oparesheni ili kukabiliana na magendo ya wahajiri kama sehemu ya juhudi za kukomesha wimbi la wahajiri kuelekea Ulaya.
-
Askari wa gadi ya pwani nchini Italia waokoa wahajiri 700
Nov 04, 2017 04:18Askari wa gadi ya pwani nchini Italia wametangaza kwamba Ijumaa ya jana waliwaokoa wahajiri 700 katika bahari ya Mediterranea.
-
Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi wafanya maandamano wakiilalamikia serikali
Oct 25, 2017 00:31Maelfu ya raia wa Italia wasio na makazi kwa kushirikiana na baadhi ya wageni wasio na mahala pa kuishi, wamemiminika mabarabarani wakiitaka serikali ya nchi hiyo kuwadhaminia makazi na masuala mengine ya kijamii nchini humo.
-
Italia yasisitiza ulazima wa Libya kuwa na amani ili kupambana na ugaidi katika eneo
Sep 05, 2017 02:31Italia imesema kuna ulazima kwa nchi ya Libya kuwa na uthabiti ili kuzuia ugaidi na kuendesha mapambano dhidi ya tishio hilo.
-
Kansela wa Ujerumani aunga mkono siasa za kuwapokea wakimbizi
Aug 27, 2017 10:06Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel ameunga mkono siasa zinazotekelezwa na serikali yake za kuwapokea wakimbizi nchini humo.
-
Jumatano Agosti 16, 2017
Aug 15, 2017 23:31Leo ni Jumatano tarehe 23 Dhulqaada 1438 Hijria sawa na Agosti 16, 2017
-
Italia: Vitisho vya Khalifa Haftar havitazuia operesheni zetu katika Bahari ya Mediterania
Aug 05, 2017 08:50Balozi wa Italia nchini Libya, Giuseppe Perrone amesema kuwa vitisho vilivyotolewa na kamanda wa Jeshi la Taifa la nchi hiyo Khalifa Haftar, havitazuia majukumu ya Italia katika maji ya eneo hilo.
-
Al Mijabri akosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa na Italia
Aug 04, 2017 04:26Kamanda Mkuu wa jeshi la Libya mwenye mfungamano na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yenye makao yake katika mji mkuu Tripoli amekosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya Waziri Mkuu wa serikali hiyo na na Italia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar: Nchi nne za Kiarabu zilizotuwekea vikwazo zina nia mbaya
Aug 02, 2017 22:03Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar kwa mara nyingine tena amelaani kikao dhidi ya nchi yake kilichofanyika hivi karibuni huko Bahrain na kuendelea kuzingirwa nchi hiyo na Saudi Arabia na waitifaki wake.