-
Juhudi za Italia za kuwepo katika pwani ya Libya kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri
Jul 30, 2017 03:16Italia imechukua uamuzi mpya wa kutuma kikosi cha Gadi ya Pwani ili kuwazuia wahajiri wanaotokea pwani ya Libya.
-
Libya yaialika Italia katika maji yake kupambana na magendo ya binadamu
Jul 26, 2017 09:36Serikali ya Libya yenye makao yake huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo imezialika meli za kivita za Italia katika maji ya nchi hiyo ili kusaidia mapambano dhidi ya magendo ya binadamu. Hayo yamesemwa leo na Paolo Gentiloni Waziri Mkuu wa Italia.
-
Jumatatu 10 Julai, 2017
Jul 10, 2017 04:16Leo ni Jumatatu tarehe 15 Shawwal 1438 Hijria sawa na 10 Julai, 2017.
-
Mawaziri wa Ulaya na Afrika wakutana Roma kujadili mgogoro wa wahajiri
Jul 06, 2017 09:30Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje na wa Masuala ya Wahajiri wa nchi za Ulaya na Afrika kimefanyika Roma mji mkuu wa Italia kujadili njia ya kupambamba na mgogoro wa sasa wa wahajiri katika bahari ya Mediterania.
-
Ijumaa, Juni Pili, 2017
Jun 01, 2017 21:54Leo ni Ijumaa tarehe 7 Ramadhani, mwaka 1438 Hijria inayosadifiana na tarehe Pili Juni, 2017 Miladia.
-
Jumanne, Mei 23, 2017
May 22, 2017 22:50Leo ni Jumanne tarehe 26 Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 23 Mei mwaka 2017 Miladia.
-
Wahajiri 7 wafa maji, 484 waokolewa katika bahari ya Mediterania
May 14, 2017 03:08Gadi ya Pwani ya Italia imesema wahajiri saba wamepoteza maisha huku wengine zaidi ya 400 wakiokolewa katika bahari ya Mediterania wakijaribu kuelekea barani Ulaya jana Jumamosi.
-
Jumamosi, Aprili 29, 2017
Apr 28, 2017 21:59Leo ni Jumamosi tarehe Pili Shaaban 1438 Hijria sawa na tarehe 29 Aprili 2017 Miladia.
-
Makabila ya kusini mwa Libya yatia saini makubaliano ya amani mjini Roma, Italia
Apr 03, 2017 00:10Wizara ya Mambo ya Ndani ya Italia imetangaza habari ya kutiwa saini makubaliano ya amani na makabila ya kusini mwa Libya mjini Roma, kwa lengo la kusimamia mpaka wa kusini mwa nchi hiyo wenye urefu wa kilometa 5000.
-
Wahajiri wengine 1,300 waokolewa katika bahari ya Mediterania
Feb 04, 2017 04:06Vikosi vya doria katika pwani ya Italia vimetangaza kuwa vimewaokoa wahajiri 1,300 katika bahari ya Mediterania.