Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Waivory Coast wanachagua rais leo, hali inatajwa kuwa tete

    Waivory Coast wanachagua rais leo, hali inatajwa kuwa tete

    Oct 31, 2020 11:59

    Mamilioni ya wananchi wa Ivory Coast wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura hii leo Jumamosi katika uchaguzi wa rais huku kukiwepo wasiwasi wa kutokea ghasia na machafuko makubwa baada ya kambi ya upinzani kutoa wito wa kususiwa uchaguzi huo.

  • Wapinzani Ivory Coast waitisha uasi wa kijamii kipinga muhula wa tatu wa Ouattara

    Wapinzani Ivory Coast waitisha uasi wa kijamii kipinga muhula wa tatu wa Ouattara

    Sep 21, 2020 11:18

    Wapinza wa serikali ya Ivory Coast wametoa wito wa kufanyika uasi wa kijamii kote nchini humo wakipinga azma ya rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara ya kugombea tena kiti hicho kwsa muhula wa tatu.

  • Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Baraza la Katiba Ivory Coast lamuidhinisha Outtara kugombea muhula wa 3 wa urais

    Sep 15, 2020 03:35

    Baraza la Katiba la Ivory Coast limemuidhinisha Rais Alassane Outtara kugombea muhula wa tatu wa urais katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao.

  • Wapinzani waendelea kupinga Ouattara kugombea tena urais Ivory Coast

    Wapinzani waendelea kupinga Ouattara kugombea tena urais Ivory Coast

    Sep 09, 2020 11:41

    Wapinzani nchini Kodivaa wamendelea kupinga na kulalamikia hatua ya Rais Alassane Outtara ya kuamua kugombea tena urais nchini humo.

  • Watu wawili wauawa Ivory Coast baada Ouatarra kutangaza kugombea tena urais

    Watu wawili wauawa Ivory Coast baada Ouatarra kutangaza kugombea tena urais

    Aug 24, 2020 07:15

    Watu wawili wameuwawa katika machafuko ya kikabila nchini Ivory Coast baada ya rais Alassane Ouattara kutangaza kwamba atawania muhula wa tatu madarakani.

  • Alassane Ouattara kugombea kiti cha urais Kodivaa kwa mara ya tatu

    Alassane Ouattara kugombea kiti cha urais Kodivaa kwa mara ya tatu

    Aug 24, 2020 02:31

    Mkutano wa kumuarifisha Alassane Ouattara kama mgombea wa kiti cha rais katika uchaguzi ujao nchini Ivory Coast umefanyika katika mji wa nchi hiyo, Abdijan.

  • Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Wapinzani Ivory Coast waendelea kupinga “muhula wa tatu” urais cha Ouattara

    Aug 15, 2020 10:04

    Makundi na vyama vya upinzani nchini Ivory Coast vimeendelea kupinga vikali uamuzi wa rais wa nchi hiyo, Alassane Ouattara wa kugombea tena kiti hicho kwa mara ya tatu mfululizo.

  • Upinzani Ivory Coast: Muhula wa tatu wa urais wa Ouattara utaibua machafuko nchini

    Upinzani Ivory Coast: Muhula wa tatu wa urais wa Ouattara utaibua machafuko nchini

    Aug 08, 2020 04:24

    Uamuzi wa Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu unakiuka katiba na utasababisha machafuko katika nchi hiyo ambayo bado inajikwamua kutoka kwenye vita vya ndani. Hayo yalielezwa jana Ijumaa na mrengo wa upinzani.

  • Ijumaa tarehe 7 Agosti mwaka 2020

    Ijumaa tarehe 7 Agosti mwaka 2020

    Aug 07, 2020 02:30

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 07 mwaka 2020.

  • Ouattara ateuliwa na chama chake kuwani tena urais Ivory Coast

    Ouattara ateuliwa na chama chake kuwani tena urais Ivory Coast

    Jul 30, 2020 10:49

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ameteuliwa tena na chama chake kuwania urais kwa muhula wa tatu ingawa binafsi hajachukua uamuzi kuhusu jambo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS