Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ivory Coast

  • Ijumaa tarehe 7 Agosti mwaka 2020

    Ijumaa tarehe 7 Agosti mwaka 2020

    Aug 07, 2020 02:30

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 07 mwaka 2020.

  • Ouattara ateuliwa na chama chake kuwani tena urais Ivory Coast

    Ouattara ateuliwa na chama chake kuwani tena urais Ivory Coast

    Jul 30, 2020 10:49

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ameteuliwa tena na chama chake kuwania urais kwa muhula wa tatu ingawa binafsi hajachukua uamuzi kuhusu jambo hilo.

  • Ivory Coast yamtia nguvuni kiongozi wa kundi lililofanya shambulizi la tarehe 10 Juni

    Ivory Coast yamtia nguvuni kiongozi wa kundi lililofanya shambulizi la tarehe 10 Juni

    Jun 23, 2020 02:29

    Ivory Coast imetangaza kuwa imemtia nguvuni mkuu wa kundi la makomando waliofanya shambulio la Juni 10 ambalo liliwauwa askari wasiopungua 10 kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu wasiopungua 13 wafariki dunia katika maporomoko ya udongo Ivory Coast

    Watu wasiopungua 13 wafariki dunia katika maporomoko ya udongo Ivory Coast

    Jun 19, 2020 12:07

    Watu wasiopungua 13 wamefariki dunia na wengine wengi hawajulikani waliko kufuatia tukio la maporomoko ya udongo huko Anyama, katika moja ya viunga vya kaskazini mwa mji wa Abidjan, nchini Ivory Coast.

  • Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 10 wa Ivory Coast

    Shambulizi la kigaidi laua wanajeshi 10 wa Ivory Coast

    Jun 12, 2020 02:33

    Kwa akali askari 10 wa Jeshi la Ivory Coast wameuawa katika shambulizi la genge moja la wanamgambo katika mpaka wa nchi hiyo na Burkina Faso.

  • Kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Jenerali Soleimani chafanyika Kodivaa

    Kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Jenerali Soleimani chafanyika Kodivaa

    Jan 14, 2020 13:10

    Waislamu wa Ivory Coast wamefanya kikao cha kumuenzi na kumkumbuka Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na mashahidi wenzake waliouawa hivi karibuni na askari magaidi wa Marekani nchini Iraq.

  • Kiongozi wa zamani wa waasi Ivory Coast atuhumiwa kwa njama ya mapinduzi

    Kiongozi wa zamani wa waasi Ivory Coast atuhumiwa kwa njama ya mapinduzi

    Dec 27, 2019 07:21

    Mwendesha Mashtaka wa serikali ya Ivory Coast amemtuhumu Guillaume Soro kiongozi wa zamani wa waasi nchini humo kwa kupanga njama ya mapinduzi; kitendo ambacho huenda kikampelekea mwanasiasa huyo kupigwa marufuku kugombea kiti cha urais mwakani.

  • Rais wa Ivory Coast: Nitagombea tena urais kwa muhula wa tatu ikiwa marais wa zamani pia watawania

    Rais wa Ivory Coast: Nitagombea tena urais kwa muhula wa tatu ikiwa marais wa zamani pia watawania

    Dec 01, 2019 13:01

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema, atawania tena urais kwa muhula wa tatu mfululizo endapo watangulizi wake pia wataamua kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huo utakaofanyika mwakani, na ambao unatajwa kama kipimo muhimu cha kutathmini uthabiti wa nchi hiyo baada ya kukumbwa na vita vya ndani mara mbili katika karne hii ya 21.

  • Rais wa Ivory Coast atoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi Iran kuwekeza nchini humo

    Rais wa Ivory Coast atoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi Iran kuwekeza nchini humo

    Nov 16, 2019 02:45

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast ametoa mwito kwa wadau wa sekta ya uchumi ya Iran kwenda kuwekeza nchini humo katika nyanja mbali mbali.

  • Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Rais wa Kodivaa (78): Nina hamu ya kukabidhi madaraka kwa vijana

    Sep 30, 2019 02:37

    Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast amesema ana hamu kubwa ya kukabidhi madaraka kwa kizazi cha sasa cha vijana katika uchaguzi wa rais wa mwakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS