-
Wanajeshi wa DRC wanawaua raia mashariki mwa nchi hiyo
May 16, 2016 23:48Wataalamu wa Umoja wa Mataifa katika kamati ya vikwazo vya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametoa ripoti na kusema maafisa wa kijeshi nchini humo wanahusika na mauaji ya raia.
-
Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio katika mkoa wa Ituri DRC
May 16, 2016 11:35Kundi la waasi wa Uganda linalojulikana kama ADF-Nalu limefanya mashambulio katika mkoa wa Ituri huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuuwa watu kadhaa.
-
DRC: Madai kuwa tumepokea silaha kutoka Korea Kaskazini ni kichekesho
May 16, 2016 03:20Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imepuuzilia mbali ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa iliyodai kuwa nchi hiyo imekuwa ikipokea silaha kutoka Korea Kaskazini.
-
UN: Jeshi la DRC liliwasaidia waasi wa Uganda kuua Wakongomani
May 15, 2016 09:31Ripoti ya siri ya Baraza la Usalama la Umoja wa Matafa imefichua kuwa, kamanda mwandamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo alifadhili na kulipa silaha kundi la waasi wa Uganda la ADF kuua raia wa nchi hiyo.
-
Jeshi la DRC laanzisha operesheni mpya dhidi ya waasi wa Uganda
May 15, 2016 02:15Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha opereseheni mpya ya kijeshi dhidi ya waasi wa Uganda, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Jeshi la DRC lawatimua wanamgambo wa Mai-Mai kutoka katika maeneo kadhaa ya mji wa Uvira
May 14, 2016 02:19Duru za usalama za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaripoti kuwa, jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kuwafurusha wanamgambo wa Mai-Mai kutoka katika maeneo kadhaa ya mji wa Uvira ulioko katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mahakama ya kilele DRC: Kabila kusalia uongozini hata baada ya muhula wake kumalizika
May 12, 2016 02:19Mahakama ya Juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa huenda Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo akasalia madarakani hata baada ya kumalizika muhula wake iwapo uchaguzi mkuu utakosa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu.
-
Kususiwa kikao cha Bunge la DRC na Wabunge wa Kivu Kaskazini
May 10, 2016 06:34Wabunge wa jimbo la Kivu kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesusia kikao cha Bunge wakilalamikia ukosefu wa amani unaoshuhudiwa katika jimbo hilo.
-
Wabunge wa mkoa wa Kivu Kaskazini, Kong DR wasusia vikao vya bunge, kulalamikia machafuko mkoani hapo
May 10, 2016 00:17Wabunge wa mkoa wa Kivu Kaskazini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameamua kususia vikao vya bunge la taifa nchini humo, kulalamikia machafuko yanayoendelea mkoani hapo.
-
Mgombea urais wa wapinzani Kongo aitwa mahakamani
May 08, 2016 03:09Mwendesha mashtaka mkuu wa mji wa Lubumbashi, kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemwita mahakamani mgombea wa urais wa muungano wa wapinzani.