Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Wafanyakazi watatu wa Shirika la Msalaba Mwekundu wakombolewa DRC

    Wafanyakazi watatu wa Shirika la Msalaba Mwekundu wakombolewa DRC

    May 07, 2016 11:38

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limesema kuwa, wafanyakazi watatu wa shirika hilo waliokuwa wametekwa nyara mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekombolewa.

  • Kiongozi wa upinzani DRC akanusha kukodi mamluki wa kigeni

    Kiongozi wa upinzani DRC akanusha kukodi mamluki wa kigeni

    May 06, 2016 03:43

    Kiongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Moise Katumbi, amekanusha tuhuma zilizotolewa na serikali kuwa amekodi mamluki wa kigeni na kueleza kwamba hahofii chochote juu ya uchunguzi wa suala hilo au ripoti kwamba anaweza kutiwa nguvuni.

  • Kiongozi wa Upinzani DRC atangaza rasmi kugombea urais

    Kiongozi wa Upinzani DRC atangaza rasmi kugombea urais

    May 05, 2016 03:55

    Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais katika uchaguzi wa mwezi Novemba.

  • Wafungwa wakimbia jela kaskazini mashaiki mwa DRC

    Wafungwa wakimbia jela kaskazini mashaiki mwa DRC

    May 02, 2016 12:26

    Mkuu wa eneo la Watsa la kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kutoroka jela wafungwa zaidi ya kumi nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa waitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakimbizi

    Umoja wa Mataifa waitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kulitafutia ufumbuzi tatizo la wakimbizi

    Apr 27, 2016 23:26

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutafuta ufumbuzi wa kudumu kuhusiana na wakimbizi wa mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    Apr 26, 2016 03:46

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi wake kuhusu kuongezeka taharuki na uhasama wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wapinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wataka kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Novemba mwaka huu

    Wapinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wataka kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Novemba mwaka huu

    Apr 25, 2016 02:25

    Wapinzani wa serikali katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametoa wito wa kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo Novemba mwaka huu kama ilivyokuwa imepangwa hapo awali.

  • Machafuko mashariki mwa DRC kikwazo kwa misaada ya maelfu ya watu

    Machafuko mashariki mwa DRC kikwazo kwa misaada ya maelfu ya watu

    Apr 24, 2016 23:34

    Ofisi ya uratibu wa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, hali mbaya na machafuko huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ni kikwazo kikuu cha kuwafikishia misaada ya kibinadamu wahitaji.

  • LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    LRA iliwateka watu 296 kwenye robo ya kwanza ya 2016

    Apr 24, 2016 23:34

    Kundi la waasi la Lord's Resistance Army la Uganda liliwateka watu 296 katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo katika robo ya kwanza ya mwaka huu.

  • Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Apr 24, 2016 10:19

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS