-
Jeshi la Rwanda lakanusha madai ya wanajeshi wake kuingia katika ardhi ya DRC kuwasaka waasi
Apr 23, 2016 11:39Jeshi la Rwanda limekanusha madai kwamba, wanajeshi wake wameingia katika ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa ajili ya kuwasaka waasi wa Kihutu walioko katika nchi hiyo.
-
Wasiwasi wa kuendelea kubanwa uhuru wa vyombo vya habari nchini Kongo
Apr 22, 2016 00:07Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka limeelezea masikitiko yake kwa kuendelea kubanwa uhuru wa vyombo vya habari huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Viongozi wa kisiasa wa Kongo watolewa wito wa kushiriki mazungumzo
Apr 17, 2016 10:50Mkuu wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatolea wito viongozi wa kisiasa wa nchi hiyo kushiriki mazungumzo ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Mripuko wa bomu wauawa watu 3 garini DRC
Apr 16, 2016 02:50Watu watatu wameuawa katika mripuko wa kile kinachoaminika kuwa bomu la kutegwa garini mashariki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Makumi waaga dunia kutokana na homa ya manjano DRC
Apr 13, 2016 02:38Mripuko wa homa ya manjano umesababisha vifo vya watu wasiopungua 21 katika Jamhuri ya Kidemorasia ya Kongo.
-
Waasi wa Uganda washambulia mashariki mwa DRC
Apr 12, 2016 23:52Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya waasi wa Uganda kufanya mashambulizi kwenye maeneo hayo.
-
Wapinzani wa Congo DR waunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
Apr 12, 2016 23:47Wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa, wanaunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linalotaka kufanyike uchaguzi wa nchi hiyo katika muda uliopangwa.
-
Machafuko baina ya wananchi na jeshi la serikali mashariki mwa DRC
Apr 11, 2016 00:17Habari kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema kuwa, kumezuka machafuko baina ya wananchi na wanajeshi wa serikali baada ya kuuawa kiongozi mmoja wa kieneo katika eneo hilo.
-
Kuteuliwa msuluhishi kwa ajili ya kufanikisha mazungumzo ya kitaifa Kongo DR
Apr 09, 2016 11:28Umoja wa Afrika (AU) umemteuwa mpatanishi ili kuanisha jitihada za kufanyika mazungumzo ya kitaifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Mashirika ya kijamii Kongo DR yajawa na wasi wasi kutokana na wanamgambo mashiriki mwa nchi
Apr 06, 2016 09:08Mashirika matano yasiyo ya serikali yanayojishughulisha na haki za binaadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, yameonyesha wasi wasi wao juu ya ongezeko la wanamgambo wa waasi kusini mashariki mwa nchi hiyo.