Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Tanzania kuwachunguza askari wake waliobaka DRC

    Tanzania kuwachunguza askari wake waliobaka DRC

    Apr 06, 2016 03:06

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema Tanzania imeshaandaa timu ya uchunguzi ambayo itasafiri kwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuchunguza madai kuwa askari wake walio katika kikosi cha Umoja wa Mataifa walihusika na unyanyasaji wa kingono.

  • Wanajeshi wa Tanzania wahusishwa na kashfa za ubakaji  DRC

    Wanajeshi wa Tanzania wahusishwa na kashfa za ubakaji DRC

    Apr 05, 2016 09:46

    Wanajeshi wa Tanzania walioko katika kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na tuhuma za kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia.

  • Wakazi wa Lubumbashi wahofia kuingizwa silaha nzito katika makazi yao

    Wakazi wa Lubumbashi wahofia kuingizwa silaha nzito katika makazi yao

    Apr 03, 2016 09:15

    Wakazi wa eneo moja la kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema wana wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuingizwa silaha nzito katika eneo hilo.

  • ICCN: Waasi wengi Kongo DR wanaendesha harakati zao katika msitu wa Virunga

    ICCN: Waasi wengi Kongo DR wanaendesha harakati zao katika msitu wa Virunga

    Apr 02, 2016 21:51

    Taasisi ya hifadhi ya maliasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeutaja msiti wa Virunga kuwa unaoongoza kwa machafuko yanayotokana na wanamgambo mbalimbali wa waasi nchini humo.

  • Askari wa UN Kongo DR waua waasi kadhaa wa Uganda

    Askari wa UN Kongo DR waua waasi kadhaa wa Uganda

    Mar 26, 2016 03:45

    Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kikishirikiana na jeshi la nchi hiyo kimesema kimefanikiwa kuangamiza idadi kubwa ya waasi wa Uganda mashariki mwa nchi.

  • ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu

    Mar 19, 2016 04:11

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC Jumatatu ijayo inatazamiwa kutoa hukumu dhidi ya Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba anayekabiliwa na tuhuma za jinai za kivita.

  • Rais Kabila wa DRC atakiwa kuondoka madarakani

    Rais Kabila wa DRC atakiwa kuondoka madarakani

    Mar 13, 2016 03:46

    Kamanda wa zamani katika Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kuondoka madarakani.

  • Makumi ya wafungwa waachiliwa huru mashariki mwa Kongo

    Makumi ya wafungwa waachiliwa huru mashariki mwa Kongo

    Mar 09, 2016 10:54

    Makumi ya wafungwa wameachiliwa huru mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrsia ya Kongo.

  • Ombi la kuongezwa wanajeshi mashariki mwa Kongo

    Ombi la kuongezwa wanajeshi mashariki mwa Kongo

    Mar 02, 2016 10:44

    Wakazi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameomba kuzidishwa idadi ya wanajeshi katika eneo hilo ili kuwalinda.

  • Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC

    Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC

    Feb 26, 2016 23:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema anatiwa wasiwasi na kutiwa nguvuni baadhi ya wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mbinyo wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS