-
Tanzania kuwachunguza askari wake waliobaka DRC
Apr 06, 2016 03:06Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema Tanzania imeshaandaa timu ya uchunguzi ambayo itasafiri kwenda nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kuchunguza madai kuwa askari wake walio katika kikosi cha Umoja wa Mataifa walihusika na unyanyasaji wa kingono.
-
Wanajeshi wa Tanzania wahusishwa na kashfa za ubakaji DRC
Apr 05, 2016 09:46Wanajeshi wa Tanzania walioko katika kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na tuhuma za kuhusika na ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia.
-
Wakazi wa Lubumbashi wahofia kuingizwa silaha nzito katika makazi yao
Apr 03, 2016 09:15Wakazi wa eneo moja la kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema wana wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuingizwa silaha nzito katika eneo hilo.
-
ICCN: Waasi wengi Kongo DR wanaendesha harakati zao katika msitu wa Virunga
Apr 02, 2016 21:51Taasisi ya hifadhi ya maliasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imeutaja msiti wa Virunga kuwa unaoongoza kwa machafuko yanayotokana na wanamgambo mbalimbali wa waasi nchini humo.
-
Askari wa UN Kongo DR waua waasi kadhaa wa Uganda
Mar 26, 2016 03:45Kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kikishirikiana na jeshi la nchi hiyo kimesema kimefanikiwa kuangamiza idadi kubwa ya waasi wa Uganda mashariki mwa nchi.
-
ICC kutoa hukumu dhidi ya Bemba wa DRC Jumatatu
Mar 19, 2016 04:11Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC Jumatatu ijayo inatazamiwa kutoa hukumu dhidi ya Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba anayekabiliwa na tuhuma za jinai za kivita.
-
Rais Kabila wa DRC atakiwa kuondoka madarakani
Mar 13, 2016 03:46Kamanda wa zamani katika Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kuondoka madarakani.
-
Makumi ya wafungwa waachiliwa huru mashariki mwa Kongo
Mar 09, 2016 10:54Makumi ya wafungwa wameachiliwa huru mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrsia ya Kongo.
-
Ombi la kuongezwa wanajeshi mashariki mwa Kongo
Mar 02, 2016 10:44Wakazi wa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameomba kuzidishwa idadi ya wanajeshi katika eneo hilo ili kuwalinda.
-
Wasiwasi kuhusiana na kutiwa nguvuni wapinzani wa serikali ya DRC
Feb 26, 2016 23:33Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema anatiwa wasiwasi na kutiwa nguvuni baadhi ya wapinzani wa kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na mbinyo wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo.