Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 50 wauawa katika shambulio la ADF mkoani Ituri, DRC

    Watu 50 wauawa katika shambulio la ADF mkoani Ituri, DRC

    May 31, 2021 22:45

    Kwa akali watu 50 wameuawa katika shambulio la kundi la wanamgambo wa ADF dhidi ya vijiji viwili mashariki mwa mkoa wa Ituri huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wacongo waliokimbia volcano Goma wanasumbuliwa na ubaha wa chakula, maji

    Wacongo waliokimbia volcano Goma wanasumbuliwa na ubaha wa chakula, maji

    May 29, 2021 07:42

    Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) waliokimbia makazi na nyumba zao Jumamosi iliyopita kutokana na mlipuko wa volkano ya Mlima Nyiragongo ambao wanahofia kutokea mlipuko mwingine wa volkano, wasumbuliwa na uhaba wa chakula na maji.

  • Asilimia 5 ya wabunge wa Congo DR wamefariki dunia kwa virusi vya corona

    Asilimia 5 ya wabunge wa Congo DR wamefariki dunia kwa virusi vya corona

    May 28, 2021 23:51

    Makamu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema wabunge 32 ambao ni sawa na karibu asilimia 5 ya jumla ya wabunge wote wa nchi hiyo, wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa COVID-19 tangu kuanza kwa janga hilo.

  • Watu wasiopungua 15 wafariki dunia, mamia ya nyumba yateketea, volcano ya Goma

    Watu wasiopungua 15 wafariki dunia, mamia ya nyumba yateketea, volcano ya Goma

    May 24, 2021 03:32

    Watu karibu 15 wamethibitishwa kufariki dunia kutokana mlipuko wa volkano uliotokea katika Mlima wa Nyiragongo, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).

  • 30 wahukumiwa kifo Congo DR kwa kuhusika na ghasia za siku ya Idul Fitri

    30 wahukumiwa kifo Congo DR kwa kuhusika na ghasia za siku ya Idul Fitri

    May 15, 2021 09:55

    Watu thelathini wamehukumiwa kifo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya kesi isiyosikilizwa katika siku moja tu, kwa kupatikana na hatia ya kuhusika na ghasia dhidi ya polisi wakati wa ibada ya Swala ya Idul Fitri ya kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani katika mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Wanamgambo 10 wa ADF waangamizwa na jeshi la Kongo DR

    Wanamgambo 10 wa ADF waangamizwa na jeshi la Kongo DR

    May 10, 2021 22:21

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwauwa wanamgambo wasiopungua 10 wa ADF mashariki mwa nchi, katika operesheni dhidi ya genge hilo la wapiganaji.

  • ICC yamhukumu Ongwen kifungo cha miaka 25 jela

    ICC yamhukumu Ongwen kifungo cha miaka 25 jela

    May 06, 2021 08:12

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wamemhukumu kifungo cha miaka 25 jela Dominic Ongwen, mwanajeshi mtoto wa zamani wa Uganda ambaye alikuwa kamanda wa kundi la waasi wa Lords Resistance Army (LRA), baada ya kupatikana na hatia ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu nchini Uganda.

  • DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    May 03, 2021 21:03

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, miezi mitatu baada ya kesi ya kwanza kuripotiwa katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • DRC yatangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa ya mashariki

    DRC yatangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa ya mashariki

    May 01, 2021 08:08

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa miwili ya mashariki mwa nchi inayoshuhudia mapigano na umwagaji damu kwa miezi kadhaa sasa.

  • 23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    Mar 31, 2021 22:32

    Afisa mmoja wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao wanadhaniwa kuwa ni wapiganaji wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda wameua raia wasiopungua 23 huko Mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS