Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    Mar 20, 2021 06:06

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea Januari mwaka huu hadi sasa.

  • Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Mar 07, 2021 04:05

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Guinea imeongezeka na kufikia watu 13.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Mar 01, 2021 23:45

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 16 katika makabiliano makali baina ya pande mbili hizo huko kaskazini mashariki mwa nchi.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    Feb 28, 2021 04:41

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti na kutahadharisha kuhusu kuendelea mapigano ya silaha na kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu vinavyofanywa na wanamgambo wanaobeba silaha na hivyo kusababisha mamilioni ya watu kuwa wakimbizi.

  • Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Feb 20, 2021 09:56

    Mripuko mpya wa ugonjwa angamizi wa tauni umeibuka kaskazini mashariki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo hadi sasa watu zaidi ya 30 wanaripotiwa kupoteza maisha.

  • WHO  yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    WHO yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    Feb 19, 2021 23:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limeanza zoezi la kutoa chanjo ya Ebola ili kukabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa huo nchini Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Feb 16, 2021 04:25

    Watu wasiopungua 60 wamefariki dunia kufuatia ajali ya boti magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Kesi ya tatu ya Ebola yathibitishwa DRC huku watu 200 wakifuatiliwa

    Feb 13, 2021 05:16

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha kesi ya tatu ya ugonjwa wa Ebola katika mji wa Butembo jimboni Kivu Kaskazini, eneo ambalo lilikuwa kitovu cha mlipuko wa 10 wa ugonjwa huo uliotangazwa kumalizika mwezi Juni mwaka jana.

  • Waziri Mkuu wa Kongo DR atangaza kujiuzulu na serikali yake

    Waziri Mkuu wa Kongo DR atangaza kujiuzulu na serikali yake

    Jan 30, 2021 04:25

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Sylvestre Ilunga Ilunkamba ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo Ijumaa hii, siku moja baada ya Bunge la nchi hiyo kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.

  • Katibu Mkuu wa UN alaani vikali mauaji dhidi ya raia nchini DRC

    Katibu Mkuu wa UN alaani vikali mauaji dhidi ya raia nchini DRC

    Jan 07, 2021 08:34

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesisitiza kusitishwa uhasama na makundi yote yenye silaha kuweka silaha hizo chini na kujiunga katika mchakato wa amani, baada ya raia zaidi ya 20 kuuawa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS