-
Wanamgambo wa ADF waua raia wengine 22 Kongo DR
Jan 06, 2021 23:07Watu wasiopungua 22 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kongo DR yatangaza masharti mapya ya kudhibiti msambao wa corona
Dec 17, 2020 01:10Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza maagizo mapya kadhaa ya kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19, huku idadi ya kesi za maambukizo ya virusi vya corona ikiongezeka.
-
Bunge DRC lapiga kura ya kumtimua spika aliyekuwa akimuunga mkono Kabila
Dec 11, 2020 03:42Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Jeanine Mabunda ametimuliwa katika nafasi hiyo.
-
Katibu Mkuu wa UN awatolea mwito viongozi Kongo DR wamalize tofauti zao kwa njia ya mazungumzo
Dec 10, 2020 00:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani matukio ya ghasia yaliyofanyika katika siku mbili zilizopita ndani na nje ya jengo la bunge kwenye mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.
-
Rais Tshisekedi wa DRC avunja muungano na Kabila
Dec 07, 2020 04:31Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amevunja muungano ambao umekuwa ukitawala nchi hiyo kwa miezi 16.
-
Kongo DR yatangaza kumalizika janga la Ebola nchini humo
Nov 18, 2020 08:28Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mlipuko wa 11 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, ambao umesababisha vifo vya watu 55 tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.
-
ADF yaua watu wasiopungua 19 Mashariki mwa Congo DR
Oct 30, 2020 04:50Kundi moja la kutetea haki za binadamu limetangaza kuwa watu wasiopungua 19 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Waasi 21 wa kundi la CODECO wauawa DRC
Oct 27, 2020 07:47Waasi 21 wameuawa katika kipindi cha siku tatu za mapigano baina yao na jeshi la serikali katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Wanamgambo wavamia jela DRC na kuachilia huru wafungwa 900
Oct 21, 2020 01:16Wanamgambo waliokuwa na silaha wamevamia Gereza Kuu la Kangbayi katika mji wa Beni, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuachilia huru wafungwa 900.
-
Kongo, miaka 10 baada ya ripoti ya UN kuweka wazi jinai kubwa na za kutisha
Oct 01, 2020 21:11Miaka 10 iliyopita, Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ilichapisha ripoti yake kuhusu utelekezaji wa haki za binadamu huko Kongo DR.