Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Guterres: Machafuko ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanatia wasiwasi

    Guterres: Machafuko ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanatia wasiwasi

    Sep 14, 2020 04:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kutokana na ghasia na machafuko yanayoongezeka kila uchao katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.

  • 50 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Kongo DR

    50 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Kongo DR

    Sep 12, 2020 07:00

    Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha baada ya kuporomokewa na mgodi wa dhahabu karibu na mji wa Kamituga, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya ADF mashariki mwa Kongo DR

    Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya ADF mashariki mwa Kongo DR

    Sep 11, 2020 02:42

    Watu wasiopungua 58 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF wa Uganda katika mkoa wa Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • U.N: Maisha ya daktari wa Congo DR aliyeshinda tuzo ya Nobel, yamo hatarini

    U.N: Maisha ya daktari wa Congo DR aliyeshinda tuzo ya Nobel, yamo hatarini

    Aug 28, 2020 22:08

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa maisha ya daktari wa Congo ambaye alishinda Tuzo ya Amani ya Nobel kwa kazi yake ya kutibu waathirika wa ubakaji katika vita yamo hatarini baada ya kutolewa vitisho kadhaa vya kumuua.

  • Wanamgambo wa ADF waua watu 20 mashariki mwa DRC

    Wanamgambo wa ADF waua watu 20 mashariki mwa DRC

    Aug 26, 2020 11:27

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa wanamgambo wa kundi la ADF wameuwa raia 20 katika hujuma dhidi ya vijiji vitatu mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watu 13 wauawa katika shambulio la genge la waasi wa ADF mashariki mwa Congo

    Watu 13 wauawa katika shambulio la genge la waasi wa ADF mashariki mwa Congo

    Aug 22, 2020 07:49

    Watu wasiopungua 13 wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Wanamgambo wa moja ya makundi ya waasi Kongo wajisalimisha baada uasi wa ndani

    Wanamgambo wa moja ya makundi ya waasi Kongo wajisalimisha baada uasi wa ndani

    Aug 19, 2020 06:52

    Wapiganaji wapatao 500 kutoka moja ya makundi makubwa ya waasi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamejisalimisha kwa serikali mwezi mmoja baada ya kujaribu kumpindua kiongozi wa kundi hilo.

  • Waasi waua watu 12 mashariki mwa DRC

    Waasi waua watu 12 mashariki mwa DRC

    Aug 17, 2020 23:01

    Watu 12 wameuwa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kushambuliwa na waasi katika mji wa Mwenda mkoani Kivu Kaskazini na Murubia huko Ituri.

  • Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula

    Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula

    Aug 15, 2020 02:19

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa mapigano na janga la maambukizi ya Covid- 19 vimepelekea mamilioni ya wananchi wa Kongo kukabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula.

  • Mashirika ya petroli DRC yasimamisha mgomo baada ya mapatano

    Mashirika ya petroli DRC yasimamisha mgomo baada ya mapatano

    Aug 14, 2020 03:32

    Mashirika yanayouza mafuta ya petroli katika maeneo ya kusini na mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesitisha mgomo wa siku kadhaa, baada ya serikali kuafiki kuongeza bei ya bidhaa hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS