-
Guterres: Machafuko ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yanatia wasiwasi
Sep 14, 2020 04:38Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kutokana na ghasia na machafuko yanayoongezeka kila uchao katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
-
50 waaga dunia baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka Kongo DR
Sep 12, 2020 07:00Kwa akali watu 50 wamepoteza maisha baada ya kuporomokewa na mgodi wa dhahabu karibu na mji wa Kamituga, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 58 wauawa katika mashambulizi ya ADF mashariki mwa Kongo DR
Sep 11, 2020 02:42Watu wasiopungua 58 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF wa Uganda katika mkoa wa Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
U.N: Maisha ya daktari wa Congo DR aliyeshinda tuzo ya Nobel, yamo hatarini
Aug 28, 2020 22:08Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa maisha ya daktari wa Congo ambaye alishinda Tuzo ya Amani ya Nobel kwa kazi yake ya kutibu waathirika wa ubakaji katika vita yamo hatarini baada ya kutolewa vitisho kadhaa vya kumuua.
-
Wanamgambo wa ADF waua watu 20 mashariki mwa DRC
Aug 26, 2020 11:27Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limetangaza kuwa wanamgambo wa kundi la ADF wameuwa raia 20 katika hujuma dhidi ya vijiji vitatu mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu 13 wauawa katika shambulio la genge la waasi wa ADF mashariki mwa Congo
Aug 22, 2020 07:49Watu wasiopungua 13 wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi wa kundi la The Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Wanamgambo wa moja ya makundi ya waasi Kongo wajisalimisha baada uasi wa ndani
Aug 19, 2020 06:52Wapiganaji wapatao 500 kutoka moja ya makundi makubwa ya waasi huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamejisalimisha kwa serikali mwezi mmoja baada ya kujaribu kumpindua kiongozi wa kundi hilo.
-
Waasi waua watu 12 mashariki mwa DRC
Aug 17, 2020 23:01Watu 12 wameuwa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kushambuliwa na waasi katika mji wa Mwenda mkoani Kivu Kaskazini na Murubia huko Ituri.
-
Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanakabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula
Aug 15, 2020 02:19Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa mapigano na janga la maambukizi ya Covid- 19 vimepelekea mamilioni ya wananchi wa Kongo kukabiliwa na ukosefu wa usalama wa chakula.
-
Mashirika ya petroli DRC yasimamisha mgomo baada ya mapatano
Aug 14, 2020 03:32Mashirika yanayouza mafuta ya petroli katika maeneo ya kusini na mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesitisha mgomo wa siku kadhaa, baada ya serikali kuafiki kuongeza bei ya bidhaa hiyo.