Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Majaji DRC wapinga sera za mageuzi za Rais Tshisekedi

    Majaji DRC wapinga sera za mageuzi za Rais Tshisekedi

    Aug 05, 2020 06:43

    Majaji wawili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepinga mpango wa rais wa nchi hiyo Felix Tshisekedi wa kufanya mageuzi katika mfumo wa mahakama na kuhamishiwa mamlaka katika mahakama ya juu.

  • Rais wa zamani wa CAR anayesakwa kwa uhalifu asema atagombea urais

    Rais wa zamani wa CAR anayesakwa kwa uhalifu asema atagombea urais

    Jul 26, 2020 08:55

    Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) Francois Bozize ametangaza kuwa atagombea urais katika uchaguzi uliopangwa kufanyika mwezi Desemba licha ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Mataifa na kutolewa waranti dhidi yake wa kumtia nguvuni kwa tuhuma za kutenda jinai dhidi ya binadamu.

  • Miili ya watu 40 waliouliwa mapiganoni  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yapatikana

    Miili ya watu 40 waliouliwa mapiganoni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yapatikana

    Jul 25, 2020 22:49

    Duru za habari za ndani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeripoti kuwa miili ya watu 40 imegunduliwa nchini baada ya kujiri mapigano kati ya makundi mawili yenye silaha.

  • Binti wa hayati Patrice Lumumba, ataka mabaki ya mwili wa baba yake yarejeshwe DRC+Sauti

    Binti wa hayati Patrice Lumumba, ataka mabaki ya mwili wa baba yake yarejeshwe DRC+Sauti

    Jul 22, 2020 14:13

    Juliana Amato Lumumba, binti wa waziri mkuu wa zamani wa Kongo hayati Patrice Emery Lumumba, amemwandikia barua mfalme Philippe wa Ubelgiji ya kumtaka ajitwishe mzigo wa kurejesha mabaki ya mwili wa hayati baba yake

  • Spika wa zamani wa Gabon aanzisha kampeni ya kupinga kuhalalishwa ngono za jinsia moja + Sauti

    Spika wa zamani wa Gabon aanzisha kampeni ya kupinga kuhalalishwa ngono za jinsia moja + Sauti

    Jul 13, 2020 22:06

    Spika Mstaafu wa Bunge la Gabon ameanzisha kampeni za kupinga sheria iliyopasishwa bungeni hivi karibuni ya kuhalalisha vitendo haramu vya kulawitiana na ngono za watu wa jinsia moja nchni humo. Amesema kuwa vitendo hivyo ni kinyume na mila na desturi za watu wa Gabon. Maelezo zaidi anayo mwandishi wetu, Mossi Mwasi kutoka Brazzaville.

  • Waziri wa Sheria DRC Celestin Tunda ajiuzulu baada ya kuzozona na rais

    Waziri wa Sheria DRC Celestin Tunda ajiuzulu baada ya kuzozona na rais

    Jul 12, 2020 09:00

    Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Celestin Tunda amejiuzulu baada ya kuzozona na rais wa nchi hiyo kuhusu sheria zilizopendekezwa ambazo zitawapa wanasiasa udhibiti zaidi wa mashtaka ya jinai.

  • Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Jul 10, 2020 02:58

    Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC inasherehekea miaka 60 ya uhuru hali ikiwa bado mbaya + Sauti

    DRC inasherehekea miaka 60 ya uhuru hali ikiwa bado mbaya + Sauti

    Jul 01, 2020 03:15

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inasherehekea miaka 60 wa uhuru wake kutoka kwa mkonoloji wa Ulaya, Ubelgiji, huku hali ya amani na uchumi ikiwa bado ni mbaya sawa kabisa na ilivyokuwa muda mchache tu baada ya kujipatia uhuru huo. Mossi Mwassi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.

  • UN: Ghasia zasababisha watu milioni moja kuwa wakimbizi DRC ndani ya miezi 6

    UN: Ghasia zasababisha watu milioni moja kuwa wakimbizi DRC ndani ya miezi 6

    Jun 30, 2020 21:56

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema ghasia, machafuko na mapigano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamepelekea watu zaidi ya milioni moja kufurushwa kutoka makwao katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

  • Mfalme wa Ubelgiji aiangukia miguuni DRC, aiomba radhi kwa ukoloni

    Mfalme wa Ubelgiji aiangukia miguuni DRC, aiomba radhi kwa ukoloni

    Jun 30, 2020 06:40

    Mfalme Philippe wa Ubelgiji ameiomba radhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na jinai ambazo nchi hiyo ya Ulaya iliwafanyia Wakongomani kwa muda wa miaka 75 katika kipindi cha ukoloni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS