-
Waziri Mkuu wa Kongo DR atishia kujiuzulu baada ya waziri wa sheria kuwekwa kizuizini kwa muda
Jun 28, 2020 11:29Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Sylvestre Ilunga amelalamikia kuwekwa kizuizini kwa muda waziri wa sheria wa serikali ya mseto ya nchi hiyo na kueleza kwamba anaweza kujiuzulu huku akimtaka rais ahakikishe mawaziri wa serikali wanakuwa na kinga ya kisheria.
-
Magaidi wa ADF waua raia 19 mashariki mwa Kongo DR
Jun 22, 2020 07:40Watu 19 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Nchi kadhaa zatuhumiwa kutuma silaha Congo DR, nyingine zinatumwa kwa waasi
Jun 19, 2020 02:00Umoja wa Mataifa umezituhumu baadhi ya nchi kwamba zinatuma silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo bila ya kuutaarifu umoja huo.
-
DRC yaanzisha uchunguzi baada ya jaji katika kesi ya ufisadi kuuawa
Jun 17, 2020 06:58Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetangaza kuanzisha uchunguzi baada ya jaji Raphael Yanyi Ovungu kuuawa kwa kupigwa kichwani.
-
Mlipuko mpya wa Ebola waua watu 11 Kongo DR
Jun 15, 2020 11:12Huku Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikiendelea kukabiliana na janga la sasa la virusi vya corona, mlipuko mpya wa virusi vya Ebola umeripotiwa katika mkoa wa magharibi mwa nchi wa Equateur.
-
Wacongomani wataka sanamu la Leopold II na nembo zote za zama za ukoloni ziharibiwe
Jun 13, 2020 22:59Wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wametaka nembo zote za kikoloni zikusanywe na kuondolewa nchini humo.
-
UNHCR: Wakimbizi DRC wanakabiliwa na hatari ya COVID-19, vita, ukosefu wa misaada
Jun 10, 2020 00:02Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema wakati janga la virusi vya corona au COVID-19 na vita vikiendelea kushika kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wakimbizi wa ndani wanakabiliwa na hatari kubwa kwa Maisha yao kutokana na ukosefu wa misaada ya kibinadamu.
-
UN: Raia 1,300 wameuawa DRC, jinai za kivita zimetendeka
Jun 05, 2020 23:27Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema takribani watu 1,300 ambao ni raia wameuawa katika matukio tofauti yanayohusisha makundi ya watu wenye silaha na vikosi vya serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC katika kipindi cha miezi minane iliyopita.
-
Wanamgambo wa CODECO waua watu 16 Kongo DR
Jun 04, 2020 03:06Watu wasiopungua 16 wameuawa katika shambulizi jingine la kutisha la wanamgambo wa CODECO huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Ugonjwa wa Ebola waripotiwa tena kaskazini magharibi mwa Congo DR
Jun 01, 2020 21:59Maafisa wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza kuwa, maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamerejea tena nchini humo.