-
SAUTI, Raia wa Kongo DR waandamana wakiitaka serikali kuchagua kati ya mambo mawili ima kuendekeza karantini au kusambaratika kwa uchumi
May 28, 2020 12:34Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kulalamikia kuporomoka thamani ya sarafu ya nchi hiyo mkabala wa dola ya Marekani.
-
UN: Kuna uwezekano kumejiri uhalifu wa kivita DRC
May 28, 2020 07:13Umoja wa Mataifa umetahadahrisha kuwa kuna uwezekano kuwa kumejiri uhalifu wa kivita Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya watu kadhaa kuuawa na makundi ya watu wenye silaha.
-
Watu wengine 40 wauawa kwa kukatwa mapanga Kongo DR
May 28, 2020 03:29Watu wasiopungua 40 wameuawa katika shambulizi jingine la kutisha la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mpakani na Uganda.
-
Wanamgambo wa ADF washambulia Ituri DRC na kuua 17
May 27, 2020 03:29Kwa akali watu 17 wameuawa katika shambulizi la kundi la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
DRC yamuomba rais wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka na Zambia
May 12, 2020 21:53Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC imemuomba Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka baina yake na Zambia.
-
Makumi ya wanamgambo wauawa katika mapigano Ituri, Kongo DR
May 09, 2020 08:00Wanamgambo 23 wameuawa katika mapigano baina yao na Jeshi la Ulinzi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) katika mkoa wa Ituri, kaskazini mwa nchi.
-
43 wauawa katika makabiliano baina ya askari na wanamgambo DRC
Apr 28, 2020 02:46Kwa akali watu 43 wameuawa katika siku tatu za makabiliano baina ya wanajeshi na magenge ya wabeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi
Apr 26, 2020 07:05Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametia saini rasmi amri ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu wa rais bunge na madiwani nchini humo. Kampeni hizo zitaanza kesho Jumatatu na kuendelea hadi Jumapili ya tarehe 17 mwezi ujao wa Mei.
-
Watu 17 wauawa katika shambulizi la kuvizia mashariki mwa Congo DR
Apr 25, 2020 02:57Watu wasiopungua 17 wameuawa na wengine kadhaa kijeruhiwa katika shambulizi lililolenga gari lililokuwa na walinzi wa mbuga ya taifa na abiria kadhaa huko mahariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
Maelfu wapanga foleni kupewa kinywaji 'kinachotibu' corona Madagascar
Apr 23, 2020 22:02Maelfu ya wananchi wa Madagascar jana Alkhamisi walionekana kwenye foleni ndefu za kupokea kile kinachotajwa kuwa kinywaji malumu cha asili, cha kutibu ugonjwa wa Covid-19 unaojulikana kwa jina maarufu la corona.