Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    DRC yadhibiti mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola

    May 03, 2021 21:03

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza habari ya kudhibitiwa mripuko wa 12 wa ugonjwa wa Ebola nchini humo, miezi mitatu baada ya kesi ya kwanza kuripotiwa katika mkoa wa Kivu Kaskazini.

  • DRC yatangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa ya mashariki

    DRC yatangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa ya mashariki

    May 01, 2021 08:08

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza 'hali ya mzingiro' katika mikoa miwili ya mashariki mwa nchi inayoshuhudia mapigano na umwagaji damu kwa miezi kadhaa sasa.

  • 23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    23 wauawa katika mauaji mengine ya halaiki Mashariki mwa Congo DR

    Mar 31, 2021 22:32

    Afisa mmoja wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa watu waliokuwa na silaha ambao wanadhaniwa kuwa ni wapiganaji wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) kutoka Uganda wameua raia wasiopungua 23 huko Mashariki mwa nchi hiyo.

  • UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    UN: Zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya wabeba silaha DRC

    Mar 20, 2021 06:06

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 200 wameuawa katika mashambulio ya magenge ya wabeba silaha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tokea Januari mwaka huu hadi sasa.

  • Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Afrika CDC: Ebola imeua watu 13 Kongo DR na Guinea

    Mar 07, 2021 04:05

    Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika CDC kimesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko mpya wa ugonjwa wa Ebola katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Guinea imeongezeka na kufikia watu 13.

  • Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Jeshi la DRC laua wanamgambo 16 kaskazini mwa nchi

    Mar 01, 2021 23:45

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanamgambo 16 katika makabiliano makali baina ya pande mbili hizo huko kaskazini mashariki mwa nchi.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Kongo

    Feb 28, 2021 04:41

    Umoja wa Mataifa umetoa ripoti na kutahadharisha kuhusu kuendelea mapigano ya silaha na kuongezeka vitendo vya utumiaji mabavu vinavyofanywa na wanamgambo wanaobeba silaha na hivyo kusababisha mamilioni ya watu kuwa wakimbizi.

  • Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Mripuko mpya wa tauni waua watu 31 Kongo DR

    Feb 20, 2021 09:56

    Mripuko mpya wa ugonjwa angamizi wa tauni umeibuka kaskazini mashariki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo hadi sasa watu zaidi ya 30 wanaripotiwa kupoteza maisha.

  • WHO  yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    WHO yaanza kutoa chanjo ya Ebola DRC

    Feb 19, 2021 23:40

    Shirika la Afya Duniani WHO limeanza zoezi la kutoa chanjo ya Ebola ili kukabiliana na mlipuko mpya wa ugonjwa huo nchini Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

  • Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Watu zaidi ya 60 wapoteza maisha katika ajali ya boti DRC

    Feb 16, 2021 04:25

    Watu wasiopungua 60 wamefariki dunia kufuatia ajali ya boti magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS