Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • SAUTI, Raia wa Kongo DR waandamana wakiitaka serikali kuchagua kati ya mambo mawili ima kuendekeza karantini au kusambaratika kwa uchumi

    SAUTI, Raia wa Kongo DR waandamana wakiitaka serikali kuchagua kati ya mambo mawili ima kuendekeza karantini au kusambaratika kwa uchumi

    May 28, 2020 12:34

    Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kulalamikia kuporomoka thamani ya sarafu ya nchi hiyo mkabala wa dola ya Marekani.

  • UN: Kuna uwezekano kumejiri uhalifu wa kivita DRC

    UN: Kuna uwezekano kumejiri uhalifu wa kivita DRC

    May 28, 2020 07:13

    Umoja wa Mataifa umetahadahrisha kuwa kuna uwezekano kuwa kumejiri uhalifu wa kivita Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya watu kadhaa kuuawa na makundi ya watu wenye silaha.

  • Watu wengine 40 wauawa kwa kukatwa mapanga Kongo DR

    Watu wengine 40 wauawa kwa kukatwa mapanga Kongo DR

    May 28, 2020 03:29

    Watu wasiopungua 40 wameuawa katika shambulizi jingine la kutisha la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mpakani na Uganda.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia Ituri DRC na kuua 17

    Wanamgambo wa ADF washambulia Ituri DRC na kuua 17

    May 27, 2020 03:29

    Kwa akali watu 17 wameuawa katika shambulizi la kundi la wanamgambo wa ADF huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC yamuomba rais wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka na Zambia

    DRC yamuomba rais wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka na Zambia

    May 12, 2020 21:53

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC imemuomba Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe apatanishe katika mgogoro wa mpaka baina yake na Zambia.

  • Makumi ya wanamgambo wauawa katika mapigano Ituri, Kongo DR

    Makumi ya wanamgambo wauawa katika mapigano Ituri, Kongo DR

    May 09, 2020 08:00

    Wanamgambo 23 wameuawa katika mapigano baina yao na Jeshi la Ulinzi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) katika mkoa wa Ituri, kaskazini mwa nchi.

  • 43 wauawa katika makabiliano baina ya askari na wanamgambo DRC

    43 wauawa katika makabiliano baina ya askari na wanamgambo DRC

    Apr 28, 2020 02:46

    Kwa akali watu 43 wameuawa katika siku tatu za makabiliano baina ya wanajeshi na magenge ya wabeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi

    Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi

    Apr 26, 2020 07:05

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametia saini rasmi amri ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu wa rais bunge na madiwani nchini humo. Kampeni hizo zitaanza kesho Jumatatu na kuendelea hadi Jumapili ya tarehe 17 mwezi ujao wa Mei.

  • Watu 17 wauawa katika shambulizi la kuvizia mashariki mwa Congo DR

    Watu 17 wauawa katika shambulizi la kuvizia mashariki mwa Congo DR

    Apr 25, 2020 02:57

    Watu wasiopungua 17 wameuawa na wengine kadhaa kijeruhiwa katika shambulizi lililolenga gari lililokuwa na walinzi wa mbuga ya taifa na abiria kadhaa huko mahariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Maelfu wapanga foleni kupewa kinywaji 'kinachotibu' corona Madagascar

    Maelfu wapanga foleni kupewa kinywaji 'kinachotibu' corona Madagascar

    Apr 23, 2020 22:02

    Maelfu ya wananchi wa Madagascar jana Alkhamisi walionekana kwenye foleni ndefu za kupokea kile kinachotajwa kuwa kinywaji malumu cha asili, cha kutibu ugonjwa wa Covid-19 unaojulikana kwa jina maarufu la corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS