Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Tume ya uchaguzi Kongo yaakhirisha uchaguzi katika miji mitatu

    Tume ya uchaguzi Kongo yaakhirisha uchaguzi katika miji mitatu

    Dec 26, 2018 11:12

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo imesema kuwa imeakhirisha katika miji mitatu nchini humo uchaguzi wa rais na wa bunge uliopangwa kufanyika Jumapili ya tarehe 30 mwezi huu hadi mwezi ujao wa Machi.

  • Watu 27 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Watu 27 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani Kongo DR

    Dec 25, 2018 11:00

    Watu wsiopungua 27 wameaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa.

  • Jamii ya kimataifa yahofishwa na uwezekano wa kutokea machafuko wakati wa uchaguzi DRC + Sauti

    Jamii ya kimataifa yahofishwa na uwezekano wa kutokea machafuko wakati wa uchaguzi DRC + Sauti

    Dec 24, 2018 23:59

    Taasisi muhimu za ndani na nje ya Afrika zimeelezea wasiwasi wao kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko kabla, wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na zinafikiria njia za kukabiliana na hatari hiyo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...

  • Maporomoko ya udongo yaua watu 5 Bukavu, Kongo DR

    Maporomoko ya udongo yaua watu 5 Bukavu, Kongo DR

    Dec 23, 2018 03:56

    Maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa yamesababisha watu watano kupoteza maisha katika mkoa wa Bukavu, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Uchaguzi Mkuu DRC waahirishwa, sasa kufanyika Disemba 30

    Uchaguzi Mkuu DRC waahirishwa, sasa kufanyika Disemba 30

    Dec 21, 2018 13:27

    Tume ya Uchaguzi ya Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo (CENI) imetangaza kuwa uchaguzi mkuu uliokuwa umepangiwa kufanyika Jumapili Desemba 23 sasa umeahirishwa hadi Jumapili Disemba 30, 2018.

  • Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi  DRC

    Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi DRC

    Dec 21, 2018 11:18

    Uganda imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu ugonjwa wa Ebola, ili kukabiliana na wimbi tarajiwa la wakimbizi iwapo vurugu zitaibuka katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.

  • Kongo yajiandaa kuakhirisha uchaguzi wa Rais wa Jumapili

    Kongo yajiandaa kuakhirisha uchaguzi wa Rais wa Jumapili

    Dec 21, 2018 04:53

    Uchaguzi wa Rais ulioakhirishwa kwa muda mrefu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo huwenda usifanyike Jumapili ijayo kama ilivyokuwa imepangwa, baada ya Tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo kuwaambia wagombea wa kiti cha urais kwamba haikuweza kuandaa zoezi la upigaji kura kama ilivyoainishwa.

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Congo DR zasimamishwa mjini Kinshasa

    Kampeni za uchaguzi wa rais Congo DR zasimamishwa mjini Kinshasa

    Dec 19, 2018 11:54

    Gavana wa jiji la Kinshasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesitisha kampeni za uchaguzi rais mjini humo kabla ya zoezi hilo muhimu lililopangwa kufanyika Jumapili ijayo.

  • Watu 45 wauawa katika mapigano ya kikabila Kongo DR

    Watu 45 wauawa katika mapigano ya kikabila Kongo DR

    Dec 19, 2018 04:27

    Watu 45 wameuawa katika ghasia za kikabila zilizotokea magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Nani atamrithi Kabila baada ya uchaguzi wa Jumapili ijayo Congo DR?

    Nani atamrithi Kabila baada ya uchaguzi wa Jumapili ijayo Congo DR?

    Dec 18, 2018 12:10

    Uchaguzi wa Rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unatarajiwa kufanyika Jumapili ijayo na utakuwa wa kwanza kuwezesha makabidhiano ya madaraka kwa njia ya kidemokrasia nchini humo baada ya miongo kadhaa ya tawala za kidikteta, mapinduzi na mapigano ya ndani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS