Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi na hali ya wakimbizi DRC

    Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi na hali ya wakimbizi DRC

    Dec 15, 2018 23:15

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limeelezea wasiwasi mkubwa lilionao kuhusiana na hali mbaya wanayokabiliwa nayo wakimbizi zaidi ya milioni moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yalaani kukandamizwa wapinzani Kongo DR kuelekea uchaguzi mkuu

    UN yalaani kukandamizwa wapinzani Kongo DR kuelekea uchaguzi mkuu

    Dec 14, 2018 12:34

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali ukandamizaji, mbinyo na unyanyasaji unaofanywa na maafisa usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo dhidi ya wapinzani, siku chache kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu.

  • Uchaguzi mkuu wa Kongo DR katika njia panda, hifadhi ya suhula za kupigia kura yateketea

    Uchaguzi mkuu wa Kongo DR katika njia panda, hifadhi ya suhula za kupigia kura yateketea

    Dec 13, 2018 10:29

    Uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao umepangwa kufanyika katika siku kumi zijazo upo katika njia panda baada ya moto mkubwa kuteketeza ghala la kuhifadhia vifaa vya kupigia kura.

  • Polisi ya Kongo yafyatua risasi hai kutawanya wafuasi wa mgombea wa upinzani

    Polisi ya Kongo yafyatua risasi hai kutawanya wafuasi wa mgombea wa upinzani

    Dec 13, 2018 04:47

    Polisi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana kwa siku ya pili mfululizo walitumia gesi ya kutoa machozi na kuwafyatulia risasi hai wafuasi wa Martin Fayulu mgombea wa upande wa upinzani ili kuwatawanya na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

  • Magaidi wa ADF waendeleza mauaji Kongo DR kuelekea uchaguzi

    Magaidi wa ADF waendeleza mauaji Kongo DR kuelekea uchaguzi

    Dec 12, 2018 03:05

    Watu 10 wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Jeshi la Rwanda laua wapiganaji wanne wa kundi la FDRL

    Jeshi la Rwanda laua wapiganaji wanne wa kundi la FDRL

    Dec 11, 2018 04:42

    Jeshi la Rwanda limesema askari wake wamekabiliana vikali na wapiganaji wa kundi la waasi wa FDLR waliojipenyeza nchini humo wakitokea katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mshindi wa Tuzo ya Nobel: Uchaguzi wa Rais Congo yumkini ukasababisha vita vya ndani

    Mshindi wa Tuzo ya Nobel: Uchaguzi wa Rais Congo yumkini ukasababisha vita vya ndani

    Dec 10, 2018 23:08

    Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel amesema kuwa, uchaguzi wa rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia wa Congo uliopangwa kufanyika mwezi huu yumkini ukasababisha machafuko na vita iwapo hautakuwa huru, wa haki na wenye amani.

  • Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Raia 17 wauawa katika mashambulizi ya ADF Kongo DR

    Dec 07, 2018 11:09

    Raia wasiopungua 17 wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Madaktari wajiunga na mgomo nchini Zimbabwe kutaka hali bora

    Madaktari wajiunga na mgomo nchini Zimbabwe kutaka hali bora

    Dec 03, 2018 23:59

    Sekta kuu ya madaktari wa hospitali za uma wamejiunga na mgomo nchini Zimbabwe wakati nchi hiyo hivi sasa ikijipapatua kutoka katika mgogoro wa kiuchumi.

  • Jeshi la Kongo DR lakabiliana na waasi; lauwa 18 mashariki mwa nchi

    Jeshi la Kongo DR lakabiliana na waasi; lauwa 18 mashariki mwa nchi

    Dec 03, 2018 12:05

    Mapigano kati ya jeshi na waasi watiifu kwa Jenerali muasi wa zamani huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 18. Hayo yameelezwa leo na duru za jeshi la Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS