Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Jeshi la Kongo DR lakabiliana na waasi; lauwa 18 mashariki mwa nchi

    Jeshi la Kongo DR lakabiliana na waasi; lauwa 18 mashariki mwa nchi

    Dec 03, 2018 12:05

    Mapigano kati ya jeshi na waasi watiifu kwa Jenerali muasi wa zamani huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 18. Hayo yameelezwa leo na duru za jeshi la Kongo.

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 01:03

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • Watu 7 wauawa katika shambulizi la ADF nchini DRC

    Watu 7 wauawa katika shambulizi la ADF nchini DRC

    Nov 28, 2018 04:11

    Raia sita na mwanamgambo mmoja wameuawa katika shambulizi la wapiganaji wa ADF wa Uganda, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • MONUSCO kuchukua hatua kali baada ya walinda amani kuuawa DRC

    MONUSCO kuchukua hatua kali baada ya walinda amani kuuawa DRC

    Nov 17, 2018 12:42

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia ulinzi wa amani Jean Pierre Lacroix amesema Kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO kitachukua hatua kali kukabiliana na makundi yenye silaha baada ya kuuawa walinda amani saba nchini humo.

  • UN yalaani mauaji ya askari wake 8 wa kulinda amani Kongo DR

    UN yalaani mauaji ya askari wake 8 wa kulinda amani Kongo DR

    Nov 16, 2018 11:19

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amelaani mauaji ya askari 8 wa kikosi cha kulinda amani cha umoja huo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Tshisekedi na Kamerhe wajiondoa kwenye muungano wa upinzani Kongo

    Tshisekedi na Kamerhe wajiondoa kwenye muungano wa upinzani Kongo

    Nov 13, 2018 23:50

    Baada ya kushinikizwa na wafuasi wao, viongozi wawili wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesalimu amri na kujiondoa kwenye muungano mpya wa upinzani uliotangaza mgombea mmoja mwishoni mwa wiki.

  • Kongo na Iran kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa habari

    Kongo na Iran kuimarisha ushirikiano wao katika uga wa habari

    Nov 13, 2018 11:06

    Mkuu wa shirika rasmi la habari la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupiga hatua za maendeleo katika nyuga mbalimbali ikiwemo sekta ya uandishi wa habari, huku akitoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili katika uga huo.

  • Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Nov 11, 2018 01:06

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, watu wasiopungua 319 wamethibitishwa kuambukizwa maradhi ya Ebola ikiwa ni wimbi jipya la maradhi hayo katika nchi hiyo.

  • UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    Nov 09, 2018 04:28

    Hatua mpya za kukabiliana na changamoto za vita dhidi ya mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC zinazaa matunda ingawa mlipuko huo bado unasalia kuwa hatari.

  • Wakazi wa Kivu Kaskazini waomboleza mauaji ya wenzao yaliyofanywa na Jenerali Nkunda Batware + Sauti

    Wakazi wa Kivu Kaskazini waomboleza mauaji ya wenzao yaliyofanywa na Jenerali Nkunda Batware + Sauti

    Nov 06, 2018 03:12

    Wakazi wa eneo moja la mkoa wa Kivu Kaskazini huko Kongo DR wamekumbuka miaka kumi tangu walipouliwa raia wenzao na wanamgambo wa Jenerali Laurent Nkunda Batware na wametaka kuundwe tume ya kuchunguza mauaji hayo. Mossi Mwassi na taarifa zaidi...

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS