Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • DRC yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika uchaguzi wa nchi hiyo + Sauti

    DRC yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika uchaguzi wa nchi hiyo + Sauti

    Nov 05, 2018 03:49

    Viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrsia ya Kongo wamelalamikia ripoti mpya ya Chuo kikuu cha New York cha nchini Marekani kilichodai kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao wa Disemba huko DRC utakuwa wa hatari zaidi kuliko hata inavyotarajiwa. Mwandishi wetu Mossi Mwassi na maelezo zaidi kutoka mjini Brazzaville.

  • Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Nov 02, 2018 02:32

    Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa maambukizi ya Ebola yaliyothibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika wiki nne zilizopita.

  • EU kuwarejeshea vikwazo maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    EU kuwarejeshea vikwazo maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Oct 31, 2018 12:21

    Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarejeshea vikwazo maafisa wa ngazi ya juu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo akiwemo mgombea wa kiti cha urais Emmanuel Ramazani Shadary ifikapo mwezi Disemba mwaka huu.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Oct 31, 2018 04:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja azimio la kupambana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa waungaji mkono wa serikali wafanyika DRC

    Mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa waungaji mkono wa serikali wafanyika DRC

    Oct 28, 2018 12:37

    Makumi ya maelfu ya wafuasi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameshiriki kwenye mkutano wa kwanza mkubwa wa hadhara wa muungano wa vyama tawala ili kusikiliza hotuba za mgombea wao katika uchaguzi wa rais unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.

  • Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Oct 26, 2018 11:03

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

  • Mashine za kupigia kura za Kongo zilizoibua makelele zaanza kuwasili

    Mashine za kupigia kura za Kongo zilizoibua makelele zaanza kuwasili

    Oct 22, 2018 04:04

    Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana alisema kuwa mashine za kupigia kura katika uchaguzi wa mwezi Disemba zinazofanana na meza zitamalizika kuwasili nchini humo mwezi huu licha ya wanadiplomasia na upande wa upinzani kuwa na shaka kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

  • Waasi wa ADF waua 13 na kuteka watoto 12 Beni, Kongo DR

    Waasi wa ADF waua 13 na kuteka watoto 12 Beni, Kongo DR

    Oct 21, 2018 11:13

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio dhidi ya ngome za jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuua watu 13 mbali na kuwateka nyara watoto wasiopungua 12.

  • SAUTI, Serikali ya Congo-Brazzaville na UNHCR zaanza kuwarejesha kwa hiari wakimbizi 3000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    SAUTI, Serikali ya Congo-Brazzaville na UNHCR zaanza kuwarejesha kwa hiari wakimbizi 3000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 20, 2018 13:20

    Serikali ya Congo-Brazzaville kwa kushirikiana na Shirika la Kuwahudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR, imeanzisha zoezi la kuwarejesha nyumbani wakimbizi 3000 wa Jamhuri ya Afrika ya Kati waliokimbilia nchi hiyo miaka kadhaa iliyopita.

  • SAUTI, Wagombea wa upinzani Kongo DR: Serikali inafanya upendeleo wa kisiasa, imetunyima ulinzi wa askari

    SAUTI, Wagombea wa upinzani Kongo DR: Serikali inafanya upendeleo wa kisiasa, imetunyima ulinzi wa askari

    Oct 19, 2018 11:48

    Wagongea wa upinzani wa kiti cha urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameilalamikia serikali ya nchi hiyo kwa kukataa kuwapatia ulinzi ili waweze kuendesha shughuli zao za kisiasa kwa amani kuelekea uchaguzi wa mwezi Disemba mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS