-
UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC
Oct 17, 2018 11:34Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi na hali ya kibinadamu katika jimbo la Kasai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na kurejea wakimbizi wengi kutoka Angola katika wiki mbili zilizopita.
-
SAUTI, Serikali ya Kongo DR yakasirishwa na kitendo cha Angola kuwafurusha kama wanyama Wakongomani
Oct 16, 2018 14:29Kufuatia hatua ya serikali ya Angola kuwatimua makumi ya maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kutaka kusafisha sekta ya madini ya alimasi kutokana na uwepo wa Wakongomani, serikali ya Kinshasa imekasirishwa na suala hilo.
-
Wahajiri Wakongomani warejea nyumbani kwa wingi baada ya kufukuzwa Angola
Oct 15, 2018 00:16Wahajiri Wakongomani na maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema kuwa makumi ya raia wa nchi hiyo wameuliwa mwezi huu katika nchi jirani ya Angola kutokana na ukandamizaji mkubwa wa polisi ya Angola katika machimbo ya madini ya almasi ya Artisanal. Polisi ya Angola imekanusha vikali tuhuma hizo.
-
WHO, yaonyesha wasi wasi wake kutokana na kuendelea maambulizi ya ugonjwa wa Ebola nchini Kongo DR
Oct 13, 2018 04:28Shirika la Afya Duniani (WHO), limeonyesha wasi wasi wake kutokana na kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola, eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa maradhi hayo imefikia 200.
-
Wakimbizi 10 wa Kongo DR wauawa katika ghasia nchini Angola
Oct 09, 2018 04:44Kwa akali raia 10 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameripotiwa kuuawa nchini Angola katika makabliano baina yao kwa upande mmoja na askari polisi na wananchi wa nchi hiyo jirani kwa upande wa pili.
-
Watu 14 wauawa katika shambulio lililochochewa na mzozo wa kikabila mashariki mwa Kongo DR
Oct 07, 2018 23:06Watu 14 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi moja la watu waliojizatiti kwa silaha baridi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR
Oct 07, 2018 04:15Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha habari ya kugunduliwa kwa kesi tano mpya za maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola katika mji wa Beni, mashariki mwa nchi.
-
Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel
Oct 05, 2018 12:14Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.
-
Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo
Oct 05, 2018 04:27Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa unaingilia uchaguzi ujao wa rais nchini humo kwa kutosikiliza wito wa serikali ya Kinshasa wa kutaka kuondolewa vikwazo kwa mgombea wa kiti cha urais ambaye ni chaguo la Rais Joseph Kabila.
-
Baraza la Usalama la UN lafanya ziara DRC kabla ya uchaguzi
Oct 04, 2018 10:56Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetuma ujumbe wake wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi miwili kabla wananchi wa taifa hilo la Kiafrika waelekee katika masanduku ya kupiga kura kumchagua rais.