Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    UNHCR ina wasiwasi kuhusu hali ya kibinadamu DRC

    Oct 17, 2018 11:34

    Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, lina wasiwasi na hali ya kibinadamu katika jimbo la Kasai la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na kurejea wakimbizi wengi kutoka Angola katika wiki mbili zilizopita.

  • SAUTI, Serikali ya Kongo DR yakasirishwa na kitendo cha Angola kuwafurusha kama wanyama Wakongomani

    SAUTI, Serikali ya Kongo DR yakasirishwa na kitendo cha Angola kuwafurusha kama wanyama Wakongomani

    Oct 16, 2018 14:29

    Kufuatia hatua ya serikali ya Angola kuwatimua makumi ya maelfu ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kutaka kusafisha sekta ya madini ya alimasi kutokana na uwepo wa Wakongomani, serikali ya Kinshasa imekasirishwa na suala hilo.

  • Wahajiri Wakongomani warejea nyumbani kwa wingi baada ya kufukuzwa Angola

    Wahajiri Wakongomani warejea nyumbani kwa wingi baada ya kufukuzwa Angola

    Oct 15, 2018 00:16

    Wahajiri Wakongomani na maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesema kuwa makumi ya raia wa nchi hiyo wameuliwa mwezi huu katika nchi jirani ya Angola kutokana na ukandamizaji mkubwa wa polisi ya Angola katika machimbo ya madini ya almasi ya Artisanal. Polisi ya Angola imekanusha vikali tuhuma hizo.

  • WHO, yaonyesha wasi wasi wake kutokana na kuendelea maambulizi ya ugonjwa wa Ebola nchini Kongo DR

    WHO, yaonyesha wasi wasi wake kutokana na kuendelea maambulizi ya ugonjwa wa Ebola nchini Kongo DR

    Oct 13, 2018 04:28

    Shirika la Afya Duniani (WHO), limeonyesha wasi wasi wake kutokana na kuenea kwa maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola, eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo idadi ya watu wanaoshukiwa kuambukizwa maradhi hayo imefikia 200.

  • Wakimbizi 10 wa Kongo DR wauawa katika ghasia nchini Angola

    Wakimbizi 10 wa Kongo DR wauawa katika ghasia nchini Angola

    Oct 09, 2018 04:44

    Kwa akali raia 10 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameripotiwa kuuawa nchini Angola katika makabliano baina yao kwa upande mmoja na askari polisi na wananchi wa nchi hiyo jirani kwa upande wa pili.

  • Watu 14 wauawa katika shambulio lililochochewa na mzozo wa kikabila mashariki mwa Kongo DR

    Watu 14 wauawa katika shambulio lililochochewa na mzozo wa kikabila mashariki mwa Kongo DR

    Oct 07, 2018 23:06

    Watu 14 wameuawa katika shambulio lililofanywa na kundi moja la watu waliojizatiti kwa silaha baridi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR

    Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR

    Oct 07, 2018 04:15

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha habari ya kugunduliwa kwa kesi tano mpya za maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola katika mji wa Beni, mashariki mwa nchi.

  • Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Dakta Mukwege wa Kongo DR ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel

    Oct 05, 2018 12:14

    Denis Mukwege, daktari bingwa wa upasuaji raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo pamoja na mwanaharakati wa Iraq, Nadia Murad wametangazwa washindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka huu 2018.

  • Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo

    Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo

    Oct 05, 2018 04:27

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa unaingilia uchaguzi ujao wa rais nchini humo kwa kutosikiliza wito wa serikali ya Kinshasa wa kutaka kuondolewa vikwazo kwa mgombea wa kiti cha urais ambaye ni chaguo la Rais Joseph Kabila.

  • Baraza la Usalama la UN lafanya ziara DRC kabla ya uchaguzi

    Baraza la Usalama la UN lafanya ziara DRC kabla ya uchaguzi

    Oct 04, 2018 10:56

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetuma ujumbe wake wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, miezi miwili kabla wananchi wa taifa hilo la Kiafrika waelekee katika masanduku ya kupiga kura kumchagua rais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS