Viongozi wa kidini wataka kuheshimiwa matokeo ya kura DRC + Sauti
Jan 05, 2019 02:44 UTC
Viongozi wa kidini wakiwemo wa Kanisa Katoliki huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo kuheshimu matokeo ya kura na kumtangaza mshindi haraka iwezekanavyo. Mossi Mwasi na maelezo zaidi...
Tags