Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Watu 12 wauawa katika mapigano kati ya makundi yenye silaha Kongo DR

    Watu 12 wauawa katika mapigano kati ya makundi yenye silaha Kongo DR

    Aug 11, 2018 03:10

    Watu 12 wameuawa katika mapigano kati ya makundi yanayobeba silaha yaliyotokea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wagombea 23 kuchuana DRC kwa ajili ya kumrithi Rais Joseph Kabila

    Wagombea 23 kuchuana DRC kwa ajili ya kumrithi Rais Joseph Kabila

    Aug 10, 2018 03:12

    Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, wagombea 23 wanatarajiwa kuchuana ili kuwania kumrithi Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo.

  • Kuteuliwa Ramazani Shadary kumrithi rais Kabila kunaweza kuakhirisha uchaguzi Kongo DR

    Kuteuliwa Ramazani Shadary kumrithi rais Kabila kunaweza kuakhirisha uchaguzi Kongo DR

    Aug 09, 2018 03:32

    Wasiwasi wa kuahirishwa uchaguzi mkuu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeongezeka zaidi, siku moja tu baada ya chama tawala cha Rais Joseph Kabila kumtangaza Emmanuel Ramazani Shadary kuwa mbeba bendera ya chama hicho pamoja na vyama tanzu katika uchaguzi huo.

  • WHO: Nchi jirani ya DRC zichukue hatua kuzuia kuenea Ebola

    WHO: Nchi jirani ya DRC zichukue hatua kuzuia kuenea Ebola

    Aug 05, 2018 20:51

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema, hali mpya ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC inazilazimisha nchi za jirani kuchukua hatua za tahadhari ili kuzuia ungojwa huo hatari kuenea.

  • Watu 33 wafariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Watu 33 wafariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 05, 2018 03:41

    Watu wasiopungua 33 wanaripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, siku chache baada ya maambukizi ya ugonjwa huo hatari kuripotiwa tena nchini humo.

  • WHO yatangaza azma ya kukabiliana na Ebola DRC

    WHO yatangaza azma ya kukabiliana na Ebola DRC

    Aug 04, 2018 03:42

    Shirika la Afya Duniani WHO, limesema litafanya kila liwezalo kudhibiti kuenea kwa mlipuko wa Ebola ambao umethibitishwa huko jimbo la Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.

  • Serikali ya DRC yamzuia kinara wa upinzani, Katumbi, kurejea na kushiriki uchaguzi

    Serikali ya DRC yamzuia kinara wa upinzani, Katumbi, kurejea na kushiriki uchaguzi

    Aug 03, 2018 11:14

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetoa taarifa rasmi kwa Moise Katumbi, mwanasiasa wa upinzani aliye uhamishoni kwamba imekataa suala la kurudi kwake nchini humo. Moise Katumbi alikuwa ametangaza kuwa atarudi nyumbani Ijumaa hii, Agosti 3.

  • WHO yachukua hatua za kudhibiti kirusi cha Ebola Kongo DR

    WHO yachukua hatua za kudhibiti kirusi cha Ebola Kongo DR

    Aug 02, 2018 03:36

    Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kuwa limechukua hatua za kukabiliana na kuenea kirusi cha ugonjwa wa ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Katumbi kurejea DRC wiki hii kwa lengo la kuwania urais

    Katumbi kurejea DRC wiki hii kwa lengo la kuwania urais

    Jul 31, 2018 11:21

    Billionea na mwanasiasa wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Moise Katumbi amesema anaomba ruhusu ya kurudi nyumbani wiki hii, kwa lengo la kuwania urais mwezi Desemba.

  • Congo DR yatangaza kumalizwa ugonjwa wa Ebola

    Congo DR yatangaza kumalizwa ugonjwa wa Ebola

    Jul 25, 2018 01:52

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza rasmi kwamba maambukizi ya ogonjwa wa Ebola yamekomeshwa kikamilifu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS